EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Bado hujakamilisha,tuwekee na hiyo ramani mkuu naona hapo umetuwekea picha tu....
hiyo pia ni ramani ipo in three dimensions (3D).Mbona sijaona ramani?
Wanachotaka ni floor plan yenye vipimo. Hiyo haiwezi kuwekwa hadharani kama hivyo. Hata kama haijafikia viwango unavyo vihitaji floor plan yenye dimensions huwezi iweka hadharani hapa,Ngoja tumpe muda,inawezekana aliandaa kwanza picha sasa hivi ndio anachora ramani,watu wanatofautiana utaalamu...
hahahahaaaaaaaBila kusahau, Bomba🤣
hahahaaaaaa mkuu wewe ni mjanja janjaro.Foundation plan mkuu nadhani ndiyo muhimu
😂😂sasa mkuu umetuwekea nyumba ya kuhamia kabisahahahaaaaaa mkuu wewe ni mjanja janjaro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa mkuu umetuwekea nyumba ya kuhamia kabisa
hahahahaaaaaaaa, hii nitanzania ya viwanda tuzidi kuchangamka kadri tuwezavyo. Kwa awamu ya tano imenifungua kwa mengi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bati zisizidi 65hahahahaaaaaaaa, hii nitanzania ya viwanda tuzidi kuchangamka kadri tuwezavyo. Kwa awamu ya tano imenifungua kwa mengi.
Hilo paa tuu kulifunika ni nyumba nyingine 2 kama hizo uzianzie chini hadi juuhabari za Leo wakubwa,
Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au pray room.
View attachment 1686499
View attachment 1686500
View attachment 1686501
View attachment 1686502
View attachment 1686503
View attachment 1686504
View attachment 1686505
View attachment 1686506
View attachment 1686507
View attachment 1686508
View attachment 1686509
View attachment 1686510
hahahahahaaaaaaa, mkuu,Bajeti yangu ni Tshs 50,000/= Ila nataka ramani yenye front view Kama hio Ila iwe room 3
hahahahahaaaaaaaa, tupige kaziHilo paa tuu kulifunika ni nyumba nyingine 2 kama hizo uzianzie chini hadi juu
mmmmm kwa hiyo nyumba hizo ni chache, kwasababu hapo bati lazima zikatwe sana tu.Bati zisizidi 65