Ramani hii inaweza ingia tofali na mabati mangapi

Ramani hii inaweza ingia tofali na mabati mangapi

virouzo

Member
Joined
Jun 23, 2021
Posts
16
Reaction score
6
Hii ramani inaweza ingia mabati mangapi na matofali mangapi ikipauliwa hivyo kuanzia msingi location Dodoma.

Madrees_5.jpg
Screenshot_20210911-074202.jpg
 
Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
  • Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
  • Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
 
Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
  • Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
  • Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
Embu nitafte wasup tuchat 0654097509
 
Na eneo lenyewe ni tambarare halipo katika mwinuko sasa sijua hizo tofali 800 zinaingiaje mana sitaki mambo mengi Hali ya mfuko haiko vzr
 
Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
  • Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
  • Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
Boss, sio kwamba tofali 2,600 kwa hiyo ramani ni nyingi kidogo! Umefanya wastani wa tofali 133 kwa mzunguko mmoja wa msingi sio? Kama kiwanja ni tambarare, hesabu inaweza kushuka kidogo?
 
Na eneo lenyewe ni tambarare halipo katika mwinuko sasa sijua hizo tofali 800 zinaingiaje mana sitaki mambo mengi Hali ya mfuko haiko vzr
Hata Hali ya mfuko iwe mbaya, hapo kwenye Msingi utatumia Tofali 800 kwa maana nimepigia course 6.
Bora uharibu kwingine lakini sio kwenye msingi
 
Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
  • Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
  • Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
dah upo vizuri mkuu
 
Boss, sio kwamba tofali 2,600 kwa hiyo ramani ni nyingi kidogo! Umefanya wastani wa tofali 133 kwa mzunguko mmoja wa msingi sio? Kama kiwanja ni tambarare, hesabu inaweza kushuka kidogo?
Tofali 2600 ni jumla ya Msingi na boma. Hiyo nyumba pia sio ndogo sana, kumbuka Ina vyumba vitatu vya kulala , sebule na jiko
 
Sebule ni mita 4 kwa 3.5,
Master ni mita 4 kwa 3.5 (hapa unaweza fanya adjustment)
Vumba vya kawaida ni mita 3.5 kwa 3
Jiko ni mita 3 kwa 2
Inacheza humo
Hivyo urefu wa nyumba kwa upana ni mita 11 kwa 8.7
Kwa hesabu hii boss, na kama kozi zitakuwa 20, basi 2,600 hamna namna, ila kwakuwa tajiri kasema hataki mambo mengi, mpunguzie kozi 3, zibaki 17😄
 
Kwa hesabu hii boss, na kama kozi zitakuwa 20, basi 2,600 hamna namna, ila kwakuwa tajiri kasema hataki mambo mengi, mpunguzie kozi 3, zibaki 17[emoji1]
Akikwepa nilichomueleza basi sawa ni hiari yake. Ila nyumba za urefu wa chini ya mita 3 zilishapita wakati wake.
Alafu Tofali 2600 mbona chache sana na wala sio gharama kivile
 
Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
  • Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
  • Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
Nimekubali, UMESHINDIKANA.

Jiniazi Jenta
 
Back
Top Bottom