Nahisi kitu kama hichoMkuu hiyo nyumba hapo chini ramani yake ndiyo hiyo hapo juu?
Embu nitafte wasup tuchat 0654097509Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
- Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
- Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Uliza maswali yote hapa.Embu nitafte wasup tuchat 0654097509
Ok nilitaka kujua ukubwa wa hivyo vyumbaUliza maswali yote hapa.
Sebule ni mita 4 kwa 3.5,Ok nilitaka kujua ukubwa wa hivyo vyumba
Boss, sio kwamba tofali 2,600 kwa hiyo ramani ni nyingi kidogo! Umefanya wastani wa tofali 133 kwa mzunguko mmoja wa msingi sio? Kama kiwanja ni tambarare, hesabu inaweza kushuka kidogo?Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
- Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
- Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Hata Hali ya mfuko iwe mbaya, hapo kwenye Msingi utatumia Tofali 800 kwa maana nimepigia course 6.Na eneo lenyewe ni tambarare halipo katika mwinuko sasa sijua hizo tofali 800 zinaingiaje mana sitaki mambo mengi Hali ya mfuko haiko vzr
dah upo vizuri mkuuNimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
- Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
- Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)
Tofali 2600 ni jumla ya Msingi na boma. Hiyo nyumba pia sio ndogo sana, kumbuka Ina vyumba vitatu vya kulala , sebule na jikoBoss, sio kwamba tofali 2,600 kwa hiyo ramani ni nyingi kidogo! Umefanya wastani wa tofali 133 kwa mzunguko mmoja wa msingi sio? Kama kiwanja ni tambarare, hesabu inaweza kushuka kidogo?
Kwa hesabu hii boss, na kama kozi zitakuwa 20, basi 2,600 hamna namna, ila kwakuwa tajiri kasema hataki mambo mengi, mpunguzie kozi 3, zibaki 17😄Sebule ni mita 4 kwa 3.5,
Master ni mita 4 kwa 3.5 (hapa unaweza fanya adjustment)
Vumba vya kawaida ni mita 3.5 kwa 3
Jiko ni mita 3 kwa 2
Inacheza humo
Hivyo urefu wa nyumba kwa upana ni mita 11 kwa 8.7
Akikwepa nilichomueleza basi sawa ni hiari yake. Ila nyumba za urefu wa chini ya mita 3 zilishapita wakati wake.Kwa hesabu hii boss, na kama kozi zitakuwa 20, basi 2,600 hamna namna, ila kwakuwa tajiri kasema hataki mambo mengi, mpunguzie kozi 3, zibaki 17[emoji1]
Akikwepa nilichomueleza basi sawa ni hiari yake. Ila nyumba za urefu wa chini ya mita 3 zilishapita wakati wake.
Alafu Tofali 2600 mbona chache sana na wala sio gharama kivile
Nimekubali, UMESHINDIKANA.Nimeshaiweka vipimo kichwani na lazima inacheza hivyo.
Swali lingine lolote unalotaka kuuliza kuhusu unenzi uliza. Mimi ni contractor niliyeshindikana
- Tofali jumla zitakuwa 2600 (foundation ya course 6 itakuwa Tofali 800, na kuta course 14 zitakuwa tofali 1800)
- Bati hapo zitaingia bundle 6( hii itategemea kuongezeka endapo Kama utapiga bati kwa angle kubwa)