E EllySkyWilly JF-Expert Member Joined Aug 28, 2020 Posts 2,204 Reaction score 2,085 Oct 3, 2020 #1 Habari za leo wadau, Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost ramani ya nyumba ile ambayo naendelea kuchora. Hivyo hapa ndipo nilipo ishia. Ila bado naendelea nayo kila napo pata muda.
Habari za leo wadau, Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost ramani ya nyumba ile ambayo naendelea kuchora. Hivyo hapa ndipo nilipo ishia. Ila bado naendelea nayo kila napo pata muda.
Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 14,938 Reaction score 25,405 Oct 3, 2020 #2 Mkuu ume screenshot kutoka wapi
E EllySkyWilly JF-Expert Member Joined Aug 28, 2020 Posts 2,204 Reaction score 2,085 Oct 3, 2020 Thread starter #3 Southern Highland said: Mkuu ume screenshot kutoka wapi Click to expand... Sija screen shot mkuu, hiyo kazi nafanya mwenyewe.
Southern Highland said: Mkuu ume screenshot kutoka wapi Click to expand... Sija screen shot mkuu, hiyo kazi nafanya mwenyewe.
Jeceel JF-Expert Member Joined Feb 6, 2018 Posts 1,476 Reaction score 3,093 Oct 3, 2020 #4 Nyumba ya room 4 gharama za ujenzi inaweza ikawa ni kiasi gani kila kitu maeneo ya dar?