Ramani ya Afrika mwaka 1959

Naona watu wengi wanaii highlight Ethiopia tu ila growth rate ya Tanzania haina tofauti na ile ya Ethiopia wote tuna range 6-7%
Indeed Ethiopia has huge potential nami nakuungaa mkono kwa baada ya miaka kumi from now itakuwa mbali but notice kwamba Tanzania haipo nyuma kwa hilo kama tutakuwa na good governance pia political stability(which kwa sas ndo weakness yetu) basi jua nasi kwa ndani ya hio miaka kumi tutakuwa mbali sana.

Tunapokuja kufeli sis (Tanzania) ni issue ambayo ipo na ni system ilio kuwa imposed na Mwalimu (Which is socialism ideology but not fully) gvt/politicians wetu wamekuwa wakiikumbatia kwa kuzan ndo system nzuri au kwa kuiga matakwa ya China, Tatzo linakuja wapi tumeipa au constitution imeipa nguvu serikali matokeo yake imekuwa knyume now inawez kuwa system nzuri kiupande mwngne but you never now kila kiongozi anakuja na thinking pia na ideology yake sas inatufanya tuna relay much on them akifanya makosa basi tume fall mazima
 
Sio healthier over the long run kwasabab ikikipindi atkuwepo mgufur na kupiga vita sana rushwa but atakae kuja rushwa itakuwa wide spread kwa mara nyingne koo atakama magufuri itafanya maendeleo flan kwa baadae hyata onekana yatakuwa destroyed na labda bad kiongozi atakae kuwapo kwa wakati uo mfano mzuri SA angalia leo ii inaonkana kabxaa kwmba effort ya Mandela worthless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…