savo
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 293
- 233
Habarini wanajamvi? Hongera kwa uhai, naombeni ramani ya vyumba vitatu ramani ya kisasa yenye,
• Sebule kubwa ya kiasi chake na dainng
• master yenye dressing room na toilet
• room moja iwe master pia
• Public toilet
• Jiko na stoo
• room ya kawaida
• study room
~ Ndo nawaza kiwanja mwaka huu nikusanye kusanye hela hapa.
#Tujenge duniani na mbinguni pia[emoji2133]
• Sebule kubwa ya kiasi chake na dainng
• master yenye dressing room na toilet
• room moja iwe master pia
• Public toilet
• Jiko na stoo
• room ya kawaida
• study room
~ Ndo nawaza kiwanja mwaka huu nikusanye kusanye hela hapa.
#Tujenge duniani na mbinguni pia[emoji2133]