Ramani za nyumba bora tz

EJOSMAT

Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
32
Reaction score
19
Tunachora Ramani za nyumba za kisasa kwa ajili ya kuchukulia kibali za ujenzi manispaa kwa bei nafuu sana
Tunakufikia mikoa yote Tanzania
Wasiana nasi leo kwa simu / whatsapp 0717 040 837 au 0767 267664

 
Tunachora Ramani za nyumba za kisasa kwa ajili ya kuchukulia kibali za ujenzi manispaa kwa bei nafuu sana
Tunakufikia mikoa yote Tanzania
Wasiana nasi leo kwa simu / whatsapp 0717 040 837 au 0767 267664
Ramani na kuoata kibali inachukuwa muda gani?
 
architectural firm yenu inaitweaje? ofisi iko wapi ? nyinyi mmeasijiliwa na bodi ya wasanifu majengo na wakadiriaji majenzi ? kama vyote hivyo hamna nyinyi ni matapeli mnataka kuibia watanzania wengi wasio na uelewa
 
hizo picha za ku download mitandaoni ndio mnadanganyia watu ,Muda si mrefu hatua kali zitachukuliwa dhidi yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…