Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei tunajadiliana baada ya kutembelea Site Yako Haiko fixedRamani ya kama hiyo ya ghorofa bei inakuwaje kama ulivyotanabaisha kwenye maelezo yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwasiliane kupitia namba hapo JuuMimi nataka kujua, hiyo nyumba ya chini iliyo peke yake - bei ya ramani, na pia gharama zake za Ujenzi.
Akikujibu nitagHaideni roof, vyumba vitatu self contained bei gan,na inatumia bati ngapi,mbao kias gani, tofari ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nichek kwenye contacts hapo juu mkuu...hata mikataba ya serikali na wawekezaji huwa ni ya siri hivyo ni busara ukinichek kwenye contacts zangu 0686970690Haideni roof, vyumba vitatu self contained bei gan,na inatumia bati ngapi,mbao kias gani, tofari ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama ya Mwanzo au nyumba ya kuishi?
Tunadesign kulingana na matakwa ya mteja...hilo banda ndio yalikuwa matakwa ya huyo client...karibu sana mkuu 0686970690 unapata ramani na boq yake kwa gharama nafuu kabisaMahakama ya Mwanzo au nyumba ya kuishi?
Full details piga simu hapo juu utapata ...full details zinauzwa mkuu karibu sana tujenge taifaUnazingua injinia. Yaan kwa hizo picha ndio utuvutie.toa full details ndio utushawishi. Japo tunaona picha tu nothing more.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hauna laki 3.5 ya kupata mchoro wa nyumba yako ya millions of money hautakuwa serious mkuu, labda kama hauna lengo la kujenga just unajaribu tu...hata hivyo bei zetu ni reasonable kulingana na mahitaji yako inawezekana ikawa hata chini ya laki 3.5 or zaidiTatizo la nyie wachoraji wa ramani bei zenu daah,, laki 3 na nusuu ! Kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu, ! Na nyumba ya vyumba 3, master bedroom 1, room 2, dining, sitting, store, kitchen, public toilet ... Hii bei yake ikoje!? Weka sample 3 au 4 kwa manufaa ya wengine pia mkuuKama hauna laki 3.5 ya kupata mchoro wa nyumba yako ya millions of money hautakuwa serious mkuu, labda kama hauna lengo la kujenga just unajaribu tu...hata hivyo bei zetu ni reasonable kulingana na mahitaji yako inawezekana ikawa hata chini ya laki 3.5 or zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
250,000 Mchoro na BOQ yake.sample za picha nitaweka. now access ya picha sina zipo kwenye laptop.na sipo karibu nayo.au kwa maelezo piga simu namba hizo juuShukrani mkuu, ! Na nyumba ya vyumba 3, master bedroom 1, room 2, dining, sitting, store, kitchen, public toilet ... Hii bei yake ikoje!? Weka sample 3 au 4 kwa manufaa ya wengine pia mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app