Mohamed_jumanne
JF-Expert Member
- Feb 16, 2020
- 331
- 936
Safi sana mkuu, nitakupigia250,000 Mchoro na BOQ yake.sample za picha nitaweka. now access ya picha sina zipo kwenye laptop.na sipo karibu nayo.au kwa maelezo piga simu namba hizo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo vyumba vingap ndugu??Kutokana na Janga La Corona bei zetu zitapungua kwa 40% mfano kazi ya 100,000 tutafanya kwa 60,000.
Punguzo ni Tshs ngapi hii??Hii ina vyumba vitatu ambapo kimoja ni master bed room, siting room, kitchen, store,dinning, na public toilet
Chukua 50000/-Bei ya kawaida ikiwa stamped ni 250,000 kwa hivyo punguzo lake la 40% ni 150,000 na bei ya kawaida bila kuwa stamped ni 150,000 hivyo punguzo lake la 40% ni 90,000
Kitaalamu ni lazima nifike site kwako na kupata vipimo halisi vya kiwanja chako na kuna vitu vingi pia tunaviangalia kama uelekeo wa jua namna barabara za mtaa wako zilivyo connected na kiwanja.aina ya udongo ulivyo kama kuna existing structure zinatakiwa zibaki na vingine vingi.karibu sana mkuu nicheki kwenye namba hiyo tufanye kazi.sajosojo kanuni ya uchoraji nasikia ni muhimu kufika kiwanja kilipo ili uchore ramani kulingana na jiografia ya eneo husika. Kwako hiyo ikoje?
Hili jambo ni muhimu sana lakini huwa sioni kama wachoraji wanalijali. Naona mtu anauza ramani mtandaoni, sasa unajiuliza ramani imechorwa Dar ila kujengwa nyumba inakwenda kujengwa Mtwara, itawezekanaje?uelekeo wa jua .
Karibu mkuu tuwasiliane kwa namba 0686970690Mkuu,ramani ya servant quarter kuanzia chumba 1 self contained, vyumba viwili self contained na kuendelea,
Sent using Jamii Forums mobile app
ivi ukitoa BOQ roughly ya bila ramani hapa Kuna tatizo gan mfano nyumba ya vyumba 3, master bedroom 1, room 2, dining, sitting, store, kitchen, public toilet, ukasema hii nyumba Ina range 20M hadi 30M kutegemea na ramani/ukubwa. Then mtu akakufata Sasa umpe ramani iliyomo katika hiyo range Kuna tatizo?Kama hauna laki 3.5 ya kupata mchoro wa nyumba yako ya millions of money hautakuwa serious mkuu, labda kama hauna lengo la kujenga just unajaribu tu...hata hivyo bei zetu ni reasonable kulingana na mahitaji yako inawezekana ikawa hata chini ya laki 3.5 or zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app