Ni habari nzuri dear... Nakutakia kila la Kheri katika ndoa yako.
Pole pia na Misiba ulosikia.
Best of Luck.
Dah! nikazani Miss Judith anatania kumbe ashataifishwa kweli?
sasa Miss Judith atakuwa hajibu tena PM zetu maskini. Imekula kwetu
hongeleni bana