Ranchoddas Shamaldas Chanchad

Virus: raju let's have a cup of tea in my office
 
Unakumbuka alivyyoitwa ofisini kwa Virus kwa kosa la kuvamia harusi?!?

Ahahahhahh
Wakati wa kuomba msamhaa alidiriki kusema hatoudhuria harusi yoyote mpaka harusi yake atakua absent

Ahahhahahajah RHAJU RASTHOGIII (In Virus' voice)
 
Kuna yule Silencer...... Ni hatari kwa mazingira,mchafuzi wa hali ya hewa
Yule mshenzi anakwambia kanuni ya kuwa wa kwanza drasani ni either usome saaana Ku upgrade maksi zako au ufanye kitu cha kupunguza maksi za wenzio , mshenzi ikifika kipindi cha mitihani anatembeza porno magazines kwa every room mmamamameeeeee
 
Jamani kuna ile moja ya kihindi kama comedy ina jamaa watatu walikuwa wakitafuta fedha/ hazina iliyofichwa waliambiwa na mzee mmoja tajiri alikufa na ajali. Tafadhalini naipenda balaa siijui jina lake.
 
Kuna sehemu ya wimbo ,kamstari kanasema
"The darkness is a sign of sunrise"
Halafu nkaja kureview kwa Fid Q
Anasema "Hakika Giza Totoro ni Ishara Ya Mapambazuko" in Walk It Off
 
Virus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha

Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
 
Virus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha

Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
Yanii balaa sana... Sema mwanafunzi mwenye akili ukikuta ni Bad boy aisee unaweza mind lakini daah mwisho wa siku unakubali tuu..!! Sawa na wewe ukiwa na akili home kidogo unapotezewa hata ukifanya ujinga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Virus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha

Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
Nilicheka siku hiyo yamechelewa pepa wanaambiwa muda umeisha wanaendelea wamemaliza anauliza Sir, do you know us? Do you know our names sasa mwenyewe msimamiaji hawaelewi anasema who are you? Minister's son? Even so I won't take your paper. Akachukua na karatasi za wenzie akavuruga na nyingine af ndukii..invigilator kabaki anatoa macho
 
Silencer alimwambia Sirrrr they're still writing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…