Random acts of kindness

Dah hilo tukio limeni-inspire sana. Wapo binadamu wachache sana ambao wanatamani dunia hii iwe sehemu nzuri ya kuishi na wewe Nyani Ngabu ni mmoja wapo japokuwa sikufahamu kwa kina.
Shukran katheeran mkuu.

Yaani kwa mfano ningekuwa na uwezo, ningewachukua watoto wote walio yatima na kuwatunza.

Basi tu sina huo uwezo.

Matendo ya wema hunigusa sana, na haijalishi ni tendo kubwa kiasi gani.

Kile kitendo cha mtu tu kuamua kutenda wema kwa mtu asiyemjua kwangu linasema mengi sana.

Wema bado upo hapa duniani.
 
Moja kati ya vitu vinavyonipa raha na faraja moyoni ni kutenda jambo la kustukiza kwa mtu nisiyemjua na jambo hilo likaleta tabasamu kwenye sura iliyochoka na kukuta tamaa. Inaweza kuwa keep change ya msimbazi kwa kununua karanga ya 100. Giving lift kwa mtu aliyekata tamaa ya kupata usafiri nk
 

Sawa kabisa.
 
Hivi jirani we ishawahi kukutokea hiyo?

Jirani kuna anonymous alinipa envelope yenye $$ iliyotosha bills za mwezi mzima plus house payment. Xmas present. Nilitoa macho mpaka leo sijamjua aisee! Mbaya zaidi na alienipa akagoma kumtaja.
Hadi keshooo I want to know that somebody maana alifunga kurasa ya surprises zangu!

Ktk restaurants stores mmmh, not a dime!
 
Pay it forward mkuu

Yes, indeed.

It's a very simple concept.

Someone does something nice to you and instead of paying them back by doing something nice to them you 'pay it forward' by doing something nice to someone else preferably someone who needs some sort of help on something.

Just a way of inspiring one another to be kind and help each other.

When I first brought it up, per usual, some folks thought I was 'stunting'. They missed the whole point.

Stunting about Bojangles? Imagine that hahahahahaaa......
 

You've got to do it now
 
Nyani ngabu unahakika zile Tabia za Mombasa hakuna huko?? Inalipiwa unafurahia..Hahaaa nawaza tu bhana..maana we unajua huko wanaruhusu hayo mambo..😀😀😛
 

Bojangles!!!
 
Mara nyingi nimekuwa ni admaya kiingereza chako kwa uzi huu nimejua kumbe mwenzetu ni dayaspora hongera sana
 
Hongera yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…