Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
RANGA CHIVAVIRO YEYE NI YANGA TU!!
"Ni kweli tunaendelea na mazungumzo na Yanga juu ya Uhamisho wa Ranga Chivaviro, mchezaji aliyefanya Vizuri kwenye michuano ya CAF ni wazi hawezi kukubali kubakia ikiwa timu imeshuka daraja, tunaipa kipaumbele timu inayocheza michuano ya CAF, tumepokea Ofa kutoka Yanga na Azam FC na bado hutujafikia makubaliano"
"Ofa Yanga ni Nzuri na Rais Hersi Saidi ametupa Ofa nzuri na ni furaha kwa Ranga kuja Tanzania na Hersi Said atakuja hapa siku chache kumalizia makubaliano natumai Oscar tutaonana siku chache zijazo Tanzania"
HERVE TRA BI, Mkurugenzi wa TNB Sports Agency Management ambayo inamsimamia Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Marumo Galants
Sifa za ziada
Chivaviro = baleke + Phil+ robertinho + mudi..
Source: FutbalPlanetUpdates
"Ni kweli tunaendelea na mazungumzo na Yanga juu ya Uhamisho wa Ranga Chivaviro, mchezaji aliyefanya Vizuri kwenye michuano ya CAF ni wazi hawezi kukubali kubakia ikiwa timu imeshuka daraja, tunaipa kipaumbele timu inayocheza michuano ya CAF, tumepokea Ofa kutoka Yanga na Azam FC na bado hutujafikia makubaliano"
"Ofa Yanga ni Nzuri na Rais Hersi Saidi ametupa Ofa nzuri na ni furaha kwa Ranga kuja Tanzania na Hersi Said atakuja hapa siku chache kumalizia makubaliano natumai Oscar tutaonana siku chache zijazo Tanzania"
HERVE TRA BI, Mkurugenzi wa TNB Sports Agency Management ambayo inamsimamia Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Marumo Galants
Sifa za ziada
Chivaviro = baleke + Phil+ robertinho + mudi..
Source: FutbalPlanetUpdates