Usifananishe Range na vitu vya ujabu
Bro kubali tu huyajui magari kubali upewe elimu RAV 4 uilinganishe na huyo mnyama .... Ama kweliSawa, ...
Bro kubali tu huyajui magari kubali upewe elimu RAV 4 uilinganishe na huyo mnyama .... Ama kweli
Hip rav 4 nilishaifunguliaga uzi kipindi imekuwa launched tu. Juzi nimekutana nayo KAWE ni tamu kinoma sema iko compactRAV 4 zipo fresh kama hii.. msizi zichukulie poa kiivyo
Barbarosa Godface pureView Zeiss Sky Eclat Extrovert Glenn
View attachment 1597559
Sure mtambo umetulia, ila kuna kasumba imejengeka kwa watu kubeza kila toyota inapokuja katika kulinganisha na gari za europe... hii hata ukimuonga mtoto mkali anakuelewa eeehHip rav 4 nilishaifunguliaga uzi kipindi imekuwa launched tu. Juzi nimekutana nayo KAWE ni tamu kinoma sema iko compact
wame meza hawajui kuna toyota ni fireHumu naona wengi wakisikia Rav4 wanajua ni zile Rav4 kilitime au Miss Tanzania! [emoji3][emoji3]
Mayazo ya fukara ni kuona ubaya tu. Very negative mind.Kama una hiyo hela chukuwa rav4 tu hautajuta, vinginevyo ujitayarishe kuhamia garage, ...
Mayazo ya fukara ni kuona ubaya tu. Very negative mind.
Chama Cha Mazezeta ni Chanzo Cha Matatizo
Dah wacha nivunje kibubu....mileage yake ngapiMilioni 100
hii seqouia iko with a dated design. They should redesign it