Range Rover Vogue inauzwa kwa bei rahisi

Range Rover Vogue inauzwa kwa bei rahisi

Secret Star

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
1,734
Reaction score
1,709
Range rover vogue on sale
Make: Land Rover
Model: Range Rover
Mileage: 140,500 Kms
Year: 2002
Type of car: 4-door
VIN Number: 2600cc
Condition: Used
For only Tsh 50,000,000

Wasiliana nasi kwa simu number +255719369048
1407356884_689436978_2.jpgRange rover vogue on sale For 45000000.jpg1407356884_689436978_4.jpg1407356884_689436978_6.jpg
 
At that age and mileage, its not worth 50 million. Its not even worth 20 million. Haya magari yanakuwa mabovu sana engine na electronics haswa yakiwa high mileage kama hili. Spares zake ni ghali balaa!
 
Punguza bei sana upate wateja. Nimejifunza kitu kimoja. Ukinunua gari luxury la kiulaya, usitegemee kuuza. La sivyo uza kwa hasara.
 
At that age and mileage, its not worth 50 million. Its not even worth 20 million. Haya magari yanakuwa mabovu sana engine na electronics haswa yakiwa high mileage kama hili. Spares zake ni ghali balaa!

Gari haina tatizo ndugu yangu na kizuri siku zote hugharamiwa''
 
Punguza bei sana upate wateja. Nimejifunza kitu kimoja. Ukinunua gari luxury la kiulaya, usitegemee kuuza. La sivyo uza kwa hasara.

Hii bei ni ya kawaida ndugu yangu''
 
inakula lita 1 km ngp?samahani mi ni karani wa mahakama ya mwanzo eti nataka kujua kama ntaliweza nijuze hapo kwenye ulaji wa mafuta
 
Yaani plate number AYG milioni 50?
Kawatafute wenye unga
 
mmekariri eeh?...hiyo ni 2.7L tu!

Sidhani kama watu wanaangalia vizuri posts au wamekatiri tu.

Mafuta kwenye 2.7 ni kawaida. Sawa na surf ya petrol tu.
Engine ndogo sana hiyo...kama sitakosea hizo zinakuwa injini za dizeli....if so, then unatakiwa kuwa na wasiwasi wa hydrollics tu kama zipo mwake.
 
Sidhani kama watu wanaangalia vizuri posts au wamekatiri tu.

Mafuta kwenye 2.7 ni kawaida. Sawa na surf ya petrol tu.
Engine ndogo sana hiyo...kama sitakosea hizo zinakuwa injini za dizeli....if so, then unatakiwa kuwa na wasiwasi wa hydrollics tu kama zipo mwake.

Ni tabu tupu Mkuu, watu wakiona jina RR baasi wanajua ni mgari wa ajabu kweli unaotafuna mafuta kama jini! RR ni gari za kawaida tu, kama zilivyo gari zingine za kisasa kikubwa ni service kwa wakati na kwa fundi anayeelewa anachokifanya, mwanzo suspension za upepo zilikuwa zinaogopeka lakini sku hizi maduka mengi yanayouza spare za magari ya ulaya kwa bei nzuri tu! 2.7L Diesel ulaji wamfuta ni kama average SUV nyingi zinavyokula tu, though kama mimi ningeopt EVOGUE, 2.2L ni more economical kwa matumizi ya mjini!
 
Ni tabu tupu Mkuu, watu wakiona jina RR baasi wanajua ni mgari wa ajabu kweli unaotafuna mafuta kama jini! RR ni gari za kawaida tu, kama zilivyo gari zingine za kisasa kikubwa ni service kwa wakati na kwa fundi anayeelewa anachokifanya, mwanzo suspension za upepo zilikuwa zinaogopeka lakini sku hizi maduka mengi yanayouza spare za magari ya ulaya kwa bei nzuri tu! 2.7L Diesel ulaji wamfuta ni kama average SUV nyingi zinavyokula tu, though kama mimi ningeopt EVOGUE, 2.2L ni more economical kwa matumizi ya mjini!

Mkuu 2.2L tam sana.
 
At that age and mileage, its not worth 50 million. Its not even worth 20 million. Haya magari yanakuwa mabovu sana engine na electronics haswa yakiwa high mileage kama hili. Spares zake ni ghali balaa!

Jaribu kuliingiza toka nje utaniambia ushuru wake,tusiwe tunaandika tu jamani.
 
Back
Top Bottom