Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,127
Hahhahahaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kama unataka umbea mtafute the bankerHabari toka jikoni zinathibitisha kuwa ile range rover aliyopewa kama package ya kujiunga clouds media, amepata nayo ajari akiwa kalewa chakali. Kwa bahati nzuri gari ilikuwa na bima kubwa sema gadner alikuwa ameshaikopea sehemu. So kampuni ya bima inahangaika kumlipa mkopeshaji pesa na riba yake ndo kiasi kilichobaki wamalizane na gadner. Huu ni ubuyu mpya kwa ajiri ya wanaume wa dar. Kama hutaki umbeya hamia jukwaa la great thinkers
cha kike cha kiume?Atashaa
kikecha kike cha kiume?
Eti bima inamlipa alikokopa hela,how comes buana, next time unapotunga story weka mambo yanayokaribiana na uhalisia
picha plz
na kweli atashaa aiseekike
ha ha ha hahhaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lendulova chali kifo cha munde
Aisee...[emoji23]