Tetesi: Range ya Gadner chalii

inaonekana jamaa tungi sana. si alikamatwaga na kibonde wakiDUI asubuhisubuhi?
 
Hilo ni Land Rover Discovery 3 mkuu sio Range Rover....
 
Ile si ni discovery
 
kwahiyo sisi ambao sio wanaume wa Dar haturuhusiwi hapa?
 
We ni team kojoza au team ndi.ndi.ndi??
 
Dah lakini huyu jamaa kila jahazi likianza huwa anamtaja MUNGU sana lakini akimalizia anaisifia bia, sijui ni dini gani huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…