Rangi nyeupe imekuwa 'too much' kwenye websites nyingi na blogs

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Wataalamu wetu wengi wa hizi website na blogs rangi za screen zao ni black and white.

Labda niulize kama ni sheria au lazima kutumia hii rangi ya black and white.Maana kila site unayoiona ni black and white. Kama ni sheria basi tuwekewe kifungu tuone.

Pili rangi hiyo ni majanga sana macho baada ya miaka huko mbele watu wengi watakuwa hawaoni vizuri.

Katika vitu vinavyoangaliwa sana sasa hivi ni simu na computer.

Kuna rangi nyingi kama ya pink ni nzuri rangi ya kijani ni nzuri dark brown sijui ndio zambarau hiyo na rangi zingine nyingi tu..mfano kwenye jf hiyo rangi ya pink juu kwenye mwanzo wa forum ni nzuri sana.

Hizi rangi nyeupe utakuta usiku unamuona mtu mpaka sura jinsi rangi nyeupe inavyommulika na kuna mwingine hajui kupunguza mwanga sasa hapo ni hatari.
Mimi kwenye screen yangu nimeweka rangi nyeusi.

Kama inawezekana kubadilika basi tubadilike. Wataalam wetu.
 
Kila rangi ina credit zake sio kila rangi ni kuweka tu. Kama shida ni rangi huipendi weka dark mode, kingine uwe unapunguza mwanga wa kifaa chako wakati wa usiku.
 
Kijani?
 
Ukivaa miwani ya mbao, hizo rangi hazisumbui kabisa....
 
Mkuu sio Tanzania tuu rangi nyeupe ni nzuri kila sehemu na pia website ukiweka marangi mengi mengi haipendezi kama white ni officially kaka #fff.
 
White color value of #FFFFFF ni Official background color kwenye kazi za UI Design.

White Inaleta Good Color Contrast kutumia Colors za content nyengine kwenye User Interface, jiulize kwanini ubao was kuandikia ni White Board...White ni muunganiko wa Rangi zote.

Other Color, ukiweka Color nyengine Kama Blue as background huwezi kuona maandiahi na content nyengine vizuri pia inaumiza macho.
 
Watu watakuwa vipofu siku za mbele..
 
Mfano white ya jf sasa hivi sio nzuri sana.
Mkuu sio Tanzania tuu rangi nyeupe ni nzuri kila sehemu na pia website ukiweka marangi mengi mengi haipendezi kama white ni officially kaka #fff.
 
Inategemea bro, inategemea na ufundi wa kutumia color (color engineering).
 
Inategemea bro, inategemea na ufundi wa kutumia color (color engineering).
Ukivaa miwani ya mbao, hizo rangi hazisumbui kabisa....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani unadesign UI kwa background ya pink au green hapo si utakuwa kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…