Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Ukiwa unawaza kupiga pamba zako huwa unawaza kumechisha?
Rangi gani unapenda kuvaa na zinazochukua asilimia kubwa ya nguo zako?
Vitu nisivypenda kuvaa:
-Suruali za kitambaa
-Nguo zenye rangirangi kama za wanakwaya. Mf. Zambarau, Njano, Blue, Kijani.
-Tshirt zenye mistari ya rangi rangi au zenye maandishi ya aina yeyote.
-Kuvaa uniform utadhani wafanyakazi wa CRDB.
-Viatu vyeusi vilivyochongoka mbele.
Rangi gani unapenda kuvaa na zinazochukua asilimia kubwa ya nguo zako?
Vitu nisivypenda kuvaa:
-Suruali za kitambaa
-Nguo zenye rangirangi kama za wanakwaya. Mf. Zambarau, Njano, Blue, Kijani.
-Tshirt zenye mistari ya rangi rangi au zenye maandishi ya aina yeyote.
-Kuvaa uniform utadhani wafanyakazi wa CRDB.
-Viatu vyeusi vilivyochongoka mbele.