Rangi ya ngozi ya Adam ilikuwa reddish-brown (kama mfinyanzi wa reddish-brown)

Rangi ya ngozi ya Adam ilikuwa reddish-brown (kama mfinyanzi wa reddish-brown)

z12f

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
704
Reaction score
572
Rangi ya ngozi ya Adam ilikuwa reddish-brown (kama mfinyanzi wa reddish-brown).

Rangi ya ngozi ya Ham ilikuwa ni nyeusi.

Rangi ya ngozi ya watoto wa Ham (Cush, Mizraim, Phut na Caanan) ilikuwa ina range from nyeusi sana to nyeusi maji ya kunde.

Waisraeli wa zamani walikuwa watoto wa Shem. Waisraeli wazamani hawa kuwa watu weusi.

Rangi yao ya ngozi ilikuwa ina range from brown to white.

Wengi wao wakipigwa na jua kwa muda mrefu, ngozi yao ilikuwa ina badilika na kuwa dark brown.

Rangi ya ngozi ya Mfalme Daudi ilikuwa light brown.
 
Acha uongo mkuu. Waisrael halisia walikuwa ni weusi na brown. Walipoenda Misri wengine walikimbilia Ethiopia na wengine walielekea Somalia.

Mfano Samson alikuwa mweusi tii. Hata Yesu mwenyewe alikuwa mweusi kama waafrika wengine hakuwa mweupe wala shombeshombe kama wazungu wanavyomchora.
 
Maombolezo ya Yeremia 5:10 inasema kwa sababu ya joto la nyikani/jangwani ngozi yao imekuwa nyeusi zaidi.....ni caucasian gani akipigwa jua ngozi yake huwa nyeusi?

Watu wengi mmedanganyika hasa baada ya Rodrigo Bogia (Pope Alexander VI) kumruhusu Leonardo Da Vinci kuinvent white Jesus kwa kutumia sura ya mwana wa Pope alexander aliyeitwa Cesare Borgia kuwa ndiye Yesu. Na wakatoliki wamejaza mapicha ya cesare borgia kama ndiye yesu katika makanisa na nyumba zao. Unaweza hata ukatumia google.com...or just type "cesare borgia" au "the white Jesus"

Fanya research zaidi. For your info, Mke wa Nuhu na hata watoto wake walikuwa weusi. Isipokuwa nuhu alikuwa na muonekano ambao wengi wanasema alikuwa kama albino kiasi hata alipozaliwa baba yake (Lameck) alishtuka sana....tafuta Kitabu cha Enock soma Sura ya 106. Hakimo katika international Bible yenye vitabu 66, kiliondolewa na St Augustine kwa sababu za ajabu ajabu za kijingajinga. Lakini kimo katika vitabu vilivyo katika Ethiopian orthodox Bible yenye jumla ya vitabu 80 kama origina King james Version ilivyokuwa mwaka 1611

More over if you have access. Tafuta vitabu vifuatavyo
Into Egypt again with ships
The valley of dry bones

tafuta pia kitabu kilichoandikwa na Arthur Koesler -The thirteen Tribe.

Arthur Koesler ni modern day Jews, profesa at Tel Aviv University. Anapinga wazi kuwa modernday Israelis are not acient Israelis. As ancient Israelis were black (page 113-118). Modern day Israeli ni Khazarians walioongoka na kupractice mila, desturi na dini ya Wayahudi wa kale-Judaism who were dispersed baada ya kuvunja agano walilokubaliana na Mungu. Soma Kumbukumbu la Torati 28 hasa kuanzia mstari 64-68 ambapo Mungu aliwaambia atawapeleka utumwani (misri) kwa meli na atawatawanya dunia nzima ikiwa watavunja agano/makubaliano aliyoweka nao wakati wa Musa.

Ukisoma vitabu hivi utaujua ukweli na mtazamo wako utabadilika kabisa.

Unaweza kuwatch documentary moja pia kama bado iko youtube inaitwa "The History of the True Hebrews"
 
Yusufu mwana wa Yakobo alimuoa Aseneti binti wa Kimisri ambaye alikuwa ni mweusi. Manase na Ephraim ambao ndiyo yalikuwa makabila makubwa ya Israeli walikuwa ni machotara wa Kihebrani na Kimisri. Lakini kubwa zaidi ambalo unasahau ni kwamba Nabii Mussa wa kabila la Walawi alimuoa Zipora binti Yethro ambaye naye alikuwa ni mweusi.

Lakini kubwa ambalo watu wengi leo hii tunadanganywa ni kuaminishwa kwamba mtu mweupe na rangi nyeupe ndiyo kila kitu. Mwanasayansi wa Kizungu Gregory Mendel anasema hivi "Dark Skin Colour is dominant and White Skin Colour is recessive" and "Brown eyes are dominant while blue and green eyes are recessive" in that case "You can get a recessive out of a dominant and not a dominant out of a recessive"

Hii ni baiolojia: Hivyo ujinga-ujinga wa kuamini kwamba wazazi wa binadamu wote walikuwa na rangi tofauti kabisa na nyeusi nadhani umekithiri. Ifike mahali tukubali kwamba lile suala la Pure-Race/Master-Race haliwezi kuwepo kwasababu dunia nzima tumechanganya sana damu.
 
Yusufu mwana wa Yakobo alimuoa Aseneti binti wa Kimisri ambaye alikuwa ni mweusi. Manase na Ephraim ambao ndiyo yalikuwa makabila makubwa ya Israeli walikuwa ni machotara wa Kihebrani na Kimisri. Lakini kubwa zaidi ambalo unasahau ni kwamba Nabii Mussa wa kabila la Walawi alimuoa Zipora binti Yethro ambaye naye alikuwa ni mweusi.

Lakini kubwa ambalo watu wengi leo hii tunadanganywa ni kuaminishwa kwamba mtu mweupe na rangi nyeupe ndiyo kila kitu. Mwanasayansi wa Kizungu Gregory Mendel anasema hivi "Dark Skin Colour is dominant and White Skin Colour is recessive" and "Brown eyes are dominant while blue and green eyes are recessive" in that case "You can get a recessive out of a dominant and not a dominant out of a recessive"

Hii ni baiolojia: Hivyo ujinga-ujinga wa kuamini kwamba wazazi wa binadamu wote walikuwa na rangi tofauti kabisa na nyeusi nadhani umekithiri. Ifike mahali tukubali kwamba lile suala la Pure-Race/Master-Race haliwezi kuwepo kwasababu dunia nzima tumechanganya sana damu.
hata ancient egyptians were black. Modern day egyptians are arabs-migrants from arabia. hata wao wanajua. hata archiologists waliojazana misri know this fact. isipokuwa they driven by white supremacism. Nilisoma mahali inasemekana wakikuta maiti za jamii za farao kitu cha kwanza wanachofanya wanazimould uso hasa pua zisiwe bapa, zionekane ndefu. Na ndiyo sababu hata sanamu na synphix limebomolewa pua maana pua yake original ni ya kibantu kabisa
 
Maombolezo ya Yeremia 5:10 inasema kwa sababu ya joto la nyikani/jangwani ngozi yao imekuwa nyeusi zaidi.....ni caucasian gani akipigwa jua ngozi yake huwa nyeusi?

Watui wengi mmedanganyika hasa baada ya Rodrigo Bogia (Pope Alexander VI) kumruhusu Leonardo Da Vinci kuinvent white Jesus kwa kutumia sura ya mwana wa Pope alexander aliyeitwa Cesare Borgia kuwa ndiye Yesu. Na wakatoliki wamejaza mapicha ya cesare borgia kama ndiye yesu katika makanisa na nyumba zao. Unaweza hata ukatumia google.com...or just type "cesare borgia" au "the white Jesus"

Fanya research zaidi. For your info, Mke wa Nuhu na hata watoto wake walikuwa weusi. Isipokuwa nuhu alikuwa na muonekano ambao wengi wanasema alikuwa kama albino kiasi hata alipozaliwa baba yake (Lameck) alishtuka sana....tafuta Kitabu cha Enock soma Sura ya 106. Hakimo katika international Bible yenye vitabu 66, kiliondolewa kwa sababu za ajabu ajabu. Lakini kimo katika vitabu vilivyo katika Ethiopian orthodox Bible yenye jumla ya vitabu 80 kama origina King james Version ilivyokuwa mwaka 1611

More over if you have access. Tafuta vitabu vifuatavyo
Into Egypt again with ships
The valley of dry bones

tafuta pia kitabu kilichoandikwa na Arthur Koesler -The thirteen Tribe.

Arthur Koesler ni modern day Jews, profesa at Tel Aviv University. Anapinga wazi kuwa modernday Israelis are not acient Israelis. As ancient Israelis were black. Modern day Israeli ni Khazarians walioongoka na kupractice mila, desturi na dini ya wayahudi wa kale who were dispersed baada ya kuvunja agano walilokubaliana na Mungu. Soma Kumbukumbu la Torati 28 hasa kuanzia mstari 64-68 ambapo Mungu aliwaambia atawapeleka utumwani (misri) kwa meli na atawatawanya dunia nzima ikiwa watavunja agano/makubaliano waliyoweka nao wakati wa Musa.

Ukisoma vitabu hivi utaujua ukweli na mtazamo wako utabadilika kabisa.

Unaweza kuwatch documentary moja pia kama bado iko youtube inaitwa "The History of the True Hebrews"
Huwa nikiwaambia watu kwamba wakristo wengi hasa Wakatoliki na Kanisa lao wamehusika sana katika kumhujumu mwafrika huwa naonekana nina chuki za kidini. Lakini siku mwafrika anapata hata kufahamu robo tu ya ukweli nadhani anaweza kuchukia kabisa dini iliyoletwa na wakoloni.

Iko hivi, sehemu kubwa ya historia ya Kanisa la kwanza ilitunzwa na Roma Mashariki (Constantinople) ambao wao ndiyo walikuja kuanzisha dhehebu la kiorthodoksi. Wao sanamu zao zote za kale hasa lile la Yesu na Mama yake(The Black Madonna) na michoro yake (Iconography) ilikuwa inaonesha Yesu akiwa akiwa ni mtu mwenye rangi nyeusi.

Dr. Yossef Ben-Jochannan anasema mbalina ushahidi huu kuwepo, lakini Kanisa Katoliki likawaaminisha wafuasi wake kwamba ilishuka nyota toka mbinguni ikabadilisha rangi ya sanamu la Yesu na Mama yake (The Black Madonna) pamoja na michori mingine. Unaambiwa mara baada ya Wakatoliki kufika nchini India walikuta Kanisa aliloanzisha Mtume Tomaso, na kuona michoro yake ikionesha Yesu akiwa ni mweusi. Ikatolewa amri kwamba iondolewe haraka sana.

Ukifuatilia sana historia utafahamu kwamba huu mchezo mchafu wa kutaka kufuta historia na kuipotosha, Kanisa liliurithi kutoka kwa Roma ya kale, ile ya kipagani (Ancient Rome). Wao walikuwa wakiona kitu kimewashinda, kama wasipokiua basi watakifuta au kukificha kabisa.

Kaisari Vespasian alivyoiangusha Metsada mwaka 71 A.D aliua maelfu ya Wayahudi na kuwafukuaza kwenye ardhi yao na kuamua kuibadilisha jina kutoka Uyahudi (Judea) hadi Ufilisti. Neno Palestine limetokana na neno Ufilisti ambalo Kaisari wa Roma ili kuhakikisha kwamba Wayahudi anawakomesha na kufuta historia yao akaamua kuwapa maaduia zao Wafilisti.

NB: Huu utamaduni mbali na kufanywa na Wakatoliki, umefanywa sana na Wakristo wakizungu kutoka kwenye madhebu mengi sana ili kufanikisha ukoloni na ubaguzi. Hebu angalia wale wanaojiita Walokole wa Marekani walivyofuta historia ya wahindi wekundu (Chereokee Indians) kule Marekani. Yaani kuna baadhi ya mambo ukiyafahamu unaweza kuishia kuwachukia hawa wanaojiita wafia dini.....
 
Hahaaaaa we jamaa mbona kama unakurupuka!
 
hata ancient egyptians were black. Modern day egyptians are arabs-migrants from arabia. hata wao wanajua. hata archiologists waliojazana misri know this fact. isipokuwa they driven by white supremacism. Nilisoma mahali inasemekana wakikuta maiti za jamii za farao kitu cha kwanza wanachofanya wanazimould uso hasa pua zisiwe bapa, zionekane ndefu. Na ndiyo sababu hata sanamu na synphix limebomolewa pua maana pua yake original ni ya kibantu kabisa
Aliyebomoa pua ya zile Sphinx alikuwa ni Napoleon Bonaparte (A Corsican Devil) kipindi alipokuwa Misri. Kuna kamchezo wamekagundua siku hizi hawa wazungu, huwa wanasema hivi "Ancient Egyptians were not blacks, but were not also white" Sasa mtu ambaye unafahamu historia na muingiliano wa Misri, Nubia, Kushi na Akzumu unaweza ukabaki unashangaa na mdomo wazi.

Ukweli mchungu wa kabla ya Karne ya 7: Misri ilikuwa ni nchi ya watu weusi waliokuwa ni Wakristo wa Kiorthodoksi (Coptic Christians). Lakini sasa vijana wa Mohamed S.A.W wakiwa na hasira ya kusambaza dini kutoka Uarabuni (Jihad) wakajikuta wamefika hadi maeneo husika. Ilikuwa ni aidha unakubali kusilimu au unapigwa jambia. Ukisoma historia ya Ethiopia, wanasema kabla ya kipindi hiki wanajeshi wa Kikushi walishawahi kwenda Mashariki ya Kati na jeshi kubwa lenye farasi na tembo ili kwenda kuokoa Wakristo na Wayahudi waliokuwa wanapigwa majambia na vijana wa Mohamed S.A.W, lakini safari yao haikuwa nzuri sana, baada ya kukumbwa na majanga.

Lakini kubwa kuliko lote ni kwamba Waarabu hawana chao pale Misri ni mbinu za kiujenzi (Architecture) na Lugha (Language). Mbinu za ujenzi za Kimisri ziko sehemu chache sana duniani kama Sudan, Ethiopia na Amerika ya Kusini. Kama Waarabu wangekuwa ndiyo wahusika basi leo hii tungeona zile alama za ujenzi kwenye ghuba yote ya Uajemi.

Pili, lugha ya kale ya Kimisri ingekuwa bado haijafa. Lakini leo ghuba ya Uajemi imejaa mbinu za Ujenzi za Kiajemi (Ancient Persian Architecture) na Kiarabu (Arabian Architecture). Lakini kuna wafia dini bado wanakomaa kwamba Waarabu na Waislamu ndiyo wameijenga Misri. Mimi nawaangaliaga halafu nasema Hiiiii.
 
Kilichonisukuma kuandika hapa ni mshangao tu, inakuwaje unajua rangi ya mtu wa enzi hizo za mwanzo kabisa wa dunia maelfu ya miaka iliyopita?

Nina kajiswali kadogo kwako ila ninahitaji jibu sahihi.

Umejuaje kuwa Adamu alikuwa na rangi uliyoandika hapo juu?

Ahsante.
 
Kilichonisukuma kuandika hapa ni mshangao tu, inakuwaje unajua rangi ya mtu wa enzi hizo za mwanzo kabisa wa dunia maelfu ya miaka iliyopita?

Nina kajiswali kadogo kwako ila ninahitaji jibu sahihi.

Umejuaje kuwa Adamu alikuwa na rangi uliyoandika hapo juu?

Ahsante.
Basic Biology (Form TWO) from Gregory Mendel:
"Black Skin Colour is Dominant and White Skin Colour is Recessive"
"Brown Eyes are Dominant and Blue Eyes are Recessive"
"You can get a Recessive out of Dominant, but not a Dominant out of Recessive"

Having Known This: Scientists all over the world are in consensus that our common ancestors were black/brown and not white or red.
 
Basic Biology (Form TWO) from Gregory Mendel:
"Black Skin Colour is Dominant and White Skin Colour is Recessive"
"Brown Eyes are Dominant and Blue Eyes are Recessive"
"You can get a Recessive out of Dominant, but not a Dominant out of Recessive"

Having Known This: Scientists all over the world are in consensus that our common ancestors were black/brown and not white or red.
kwa aliyesoma kwa kukariri ili aajiriwe tu hawezi kuelewa hili
 
Huwa nikiwaambia watu kwamba wakristo wengi hasa Wakatoliki na Kanisa lao wamehusika sana katika kumhujumu mwafrika huwa naonekana nina chuki za kidini. Lakini siku mwafrika anapata hata kufahamu robo tu ya ukweli nadhani anaweza kuchukia kabisa dini iliyoletwa na wakoloni.

Iko hivi, sehemu kubwa ya historia ya Kanisa la kwanza ilitunzwa na Roma Mashariki (Constantinople) ambao wao ndiyo walikuja kuanzisha dhehebu la kiorthodoksi. Wao sanamu zao zote za kale hasa lile la Yesu na Mama yake(The Black Madonna) na michoro yake (Iconography) ilikuwa inaonesha Yesu akiwa akiwa ni mtu mwenye rangi nyeusi.

Dr. Yossef Ben-Jochannan anasema mbalina ushahidi huu kuwepo, lakini Kanisa Katoliki likawaaminisha wafuasi wake kwamba ilishuka nyota toka mbinguni ikabadilisha rangi ya sanamu la Yesu na Mama yake (The Black Madonna) pamoja na michori mingine. Unaambiwa mara baada ya Wakatoliki kufika nchini India walikuta Kanisa aliloanzisha Mtume Tomaso, na kuona michoro yake ikionesha Yesu akiwa ni mweusi. Ikatolewa amri kwamba iondolewe haraka sana.

Ukifuatilia sana historia utafahamu kwamba huu mchezo mchafu wa kutaka kufuta historia na kuipotosha, Kanisa liliurithi kutoka kwa Roma ya kale, ile ya kipagani (Ancient Rome). Wao walikuwa wakiona kitu kimewashinda, kama wasipokiua basi watakifuta au kukificha kabisa.

Kaisari Vespasian alivyoiangusha Metsada mwaka 71 A.D aliua maelfu ya Wayahudi na kuwafukuaza kwenye ardhi yao na kuamua kuibadilisha jina kutoka Uyahudi (Judea) hadi Ufilisti. Neno Palestine limetokana na neno Ufilisti ambalo Kaisari wa Roma ili kuhakikisha kwamba Wayahudi anawakomesha na kufuta historia yao akaamua kuwapa maaduia zao Wafilisti.

NB: Huu utamaduni mbali na kufanywa na Wakatoliki, umefanywa sana na Wakristo wakizungu kutoka kwenye madhebu mengi sana ili kufanikisha ukoloni na ubaguzi. Hebu angalia wale wanaojiita Walokole wa Marekani walivyofuta historia ya wahindi wekundu (Chereokee Indians) kule Marekani. Yaani kuna baadhi ya mambo ukiyafahamu unaweza kuishia kuwachukia hawa wanaojiita wafia dini.....
mkuu, hata ukisoma Bible Revelation 1:14-15 ambapo imedescribe muonekano wa Yesu akiwa mbinguni inaonyesha ana muonekano wa broze (shaba nyeusi), The bible haisemi copper (shaba nyekundu) na nywele kama wool.....a non caucasian description. people don't read literatures in three dimensions.

Watu weusi tutaamka siku tutakapoanza kutumia elimu hizi tulizokaririshwa na kuanza kuhoji kila kitu tulichofundishwa. A few of us have awaken, waliobado usingizini ndiyo wakisoma tunayoaandika hawaelewi wanaona kama ni uongo
 
Back
Top Bottom