RANGI YA ZIADA;MAVAZI YA SIMBA SC!

Beso

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
216
Reaction score
59
Nikiwa mshabiki wa Klabu ya Simba nilikuwa na wazo la kuwepo kwa rangi mbadala katika mavazi na jezi za klabu yetu tofauti na rangi zetu za asili ambazo ni nyekundu(home) na njeupe (away).
Rangi mbadala inaweza kutumika kuzipa muonekano tofauti tofauti jezi zetu tofauti na option ya nyeupe na nyekundu!
Wazo la uchaguzi wa rangi mbadala kama hautaenda tofauti na jadi ya klabu yetu,nakaribisha maoni katika hili.

 
Wenzako wanataka kombe,,,,we unawaletea rangi za jezi angalia wasije wakakupeleka fifa....
 

Haya mawazo ya kijinga umeyapata wapi?..Azam wana marangi kibao kama m Christmas tree nenda ukashabikie huko utapata kila rangi
 
Ngoja wakirudi kutoka FIFA watakuja kutoa maoni
 
Hizo rangi unazotaka wewe zipeleke kwenye nguo za familia yako SIMBA rangi zetu zinatosha NYEKUNDU NA NYEUPE."This is SIMBAAAA""
 
Ongeezeni kofia za njano na bukta ziongezewe pia mifuko ya rangi ya kijani yenye mifuniko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…