Rangi za asili za nembo ya taifa zinabadilishwa kufanana na za chama tawala?

Rangi za asili za nembo ya taifa zinabadilishwa kufanana na za chama tawala?

FACTSFIRST

Senior Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
191
Reaction score
290
Kila anayefuatilia historia ya nchi hii na kujua maana ya rangi na alama mbalimbali atagundua kuwa baada ya kuondoa Kwa Mwalimu Nyerere, Muasisi wa Taifa hili, walioachiwa nchi chini ya CCM wanafanya kila kinachowezekana kulazimisha watu wote waone "CCM is synonymous to Government".

Kuna vitu na matukio mengi yenye sura hii, lakini leo nataka mfuatilie logo ya Taifa yenye Bibi na Bwana. Wakati wa Mwalimu, nguo za zao hazikuwa kijani na wala Yule Bibi hakuwa na nywele za njano.

Angalieni sasa hivi, kidogo kidogo wanaenda mpaka kila kitu cha nchi kitakuwa kama mali ya chama!

Hata ndege zote mpya zimeandikwa "HAPA KAZI TU" ambayo ilikuwa campaign slogan ya mgombea wa CCM. Ndege zimenunuliwa kwa pesa za umma. Kwa nini ziwekwe "matangazo" ya chama kimoja bure?

TBC tulishawaachia wafanye watakavyo. Sasa wanaona tuko kimya wanazidi kusogea tu.

Iko siku FACTS za historia zitaibuliwa na watu wataenda jela kwa kuhujumu Taifa kupitia chama cha siasa.

Screenshot_20200213-164558~2.png
 
Kila anayefuatilia historia ya nchi hii na kujua maana ya rangi na alama mbalimbali atagundua kuwa baada ya kuondoa Kwa Mwalimu Nyerere, Muasisi wa Taifa hili, walioachiwa nchi chini ya CCM wanafanya kila kinachowezekana kulazimisha watu wote waone "CCM is synonymous to Government".

Kuna vitu na matukio mengi yenye sura hii, lakini leo nataka mfuatilie logo ya Taifa yenye Bibi na Bwana. Wakati wa Mwalimu, nguo za zao hazikuwa kijani na wala Yule Bibi hakuwa na nywele za njano.

Angalieni sasa hivi, kidogo kidogo wanaenda mpaka kila kitu cha nchi kitakuwa kama mali ya chama!

Hata ndege zote mpya zimeandikwa "HAPA KAZI TU" ambayo ilikuwa campaign slogan ya mgombea wa CCM. Ndege zimenunuliwa kwa pesa za umma. Kwa nini ziwekwe "matangazo" ya chama kimoja bure?

TBC tulishawaachia wafanye watakavyo. Sasa wanaona tuko kimya wanazidi kusogea tu.

Iko siku FACTS za historia zitaibuliwa na watu wataenda jela kwa kuhujumu Taifa kupitia chama cha siasa.

View attachment 1356391
Wafalme hawana wazo kuwa kuna siku Israel atatumwa kuwafikisha mbele ya haki.
 
CCM haiwez kung'olewa ki urahis kama watu wanavyo waza , ili CCM iondoke madaraka inabidi watanzania mfanye kitu ambacho Dunia nzima itazizima...tofauti na hapo hadi huruma ya Mungu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ikataeni pia Bakwata

Bakwata tumeishaikataa Zamani lakini hatuna ubavu wa Kuiondoa kwani Ndiyo Mhimili wa 3 unaotegemewa na CCM.

1) Dola
2) Mahakama
3) Bakwata

Wazanzibari walipojaribu tu kuikacha Bakwata basi Viongozi wao Wa Dini waliowakubali ambao ni UAMSHO wote wamefungwa Kifungo cha Maisha bila ya Mahakama.
 
Bakwata tumeishaikataa Zamani lakini hatuna ubavu wa Kuiondoa kwani Ndiyo Mhimili wa 3 unaotegemewa na CCM.

1) Dola
2) Mahakama
3) Bakwata

Wazanzibari walipojaribu tu kuikacha Bakwata basi Viongozi wao Wa Dini waliowakubali ambao ni UAMSHO wote wamefungwa Kifungo cha Maisha bila ya Mahakama.
Mungu ibariki uamsho
 
Back
Top Bottom