Wivu tu unakumaliza kwa vile shule za st.... zinapiga fimbo madrassa kama wamesimama kwenye mitihani ya kitaifa. Kaangalie matokeo ya mtihani na ulinganishe kinondoni muslim (na ndugu zake) vs shule zinazoanzia St.... ndiyo ujue ukweli wa mambo
politics is kind of wind proffesional, hao wasio na rangi nyekundu wamekula nodo zao na wa na kazi za maanauongozi wa juu wa CWTwajumbe wa kamati kuu ya Jumuia ya wanawake wa CCM
- Sophia Simba-Mwenyekiti
- Asha Bakari- Makamu Mwenyekiti
- Husna-Katibu ambaye mama Simba Hamtaki
- Shamsa Mwangunga
- Hawa Ghasia
- Zainabu Mwamwindi
- Furahia Abdallah
- Fatuma Tawafiq
- Lucy Mayenga
- Lediana Mngongo
- Subira Mohamed
- Zainabu Shomari.
Hiyo nidyo safu kuu..Sipendi kuwa mnafiki,mbona imejaa watu wa alama nyekundu?
Mbona Mnakimbia hoja?
sijaongea suala la ubaguzi ila Wengi naona mmeonesha madhara makubwa ya ubaguzi..mkianza kubaguana kwa dini basi mtabaguana kwa elimu.
Mie nimeuliza tu swali ..
Mie nilitaka kujua hawa walichaguliwaje au imetokea kama bahati nzuri kuwa wote wanatoka sehemu moja?
tujadili hoja na tuache kuleta vioja na kupeana na vijembe
Mnaisahau historia. Hata TAA halafu TANU na baadaye CCM ilianzishwa na "waswahili" wengi tu.
Niwajinga hawajui wasemalo, Yesu awasamehe, Pia hawajui kuwa nchi hii majority ni waislam (CIA Report)
chagushangaza sio UWT wamejaa waswahili! tatizo ni kwa nini waislam au waswahili ni wachache sehemu nyingine?
Kwanini msiende kampuni ya Chadema mkaanzishe UWT yenu mkewe Dr. Slaa awe M/Kiti, Mbowe,,, shit
Leo CIA sio makafiri tena kwa vile wamesema kuwa waislam wengi Tanzania?
Kesho CIA wakisema kuwa somalia kumejaa magaidi unaanza kutoa mipovu
Nikikuletea Qur'ani utaiamini? tunaelewa waislam niwengi kabla ya CIA report, hiyo nimekuletea wewe unae muamini mzungu kila asemacho
Shule ni tatizo kubwa sana!
Tumewaona na vyeti feki ni nyie, nchi tuliaachia mkaisambaratisha, hamjui nyie ni vihiyo?
Hapa sasa umejionesha jinsi ulivyo
Nikikuletea Qur'ani utaiamini? tunaelewa waislam niwengi kabla ya CIA report, hiyo nimekuletea wewe unae muamini mzungu kila asemacho
Tumewaona na vyeti feki ni nyie, nchi tuliaachia mkaisambaratisha, hamjui nyie ni vihiyo?
Yes! That is me, always
uongozi wa juu wa CWT
- Sophia Simba-Mwenyekiti
- Asha Bakari- Makamu Mwenyekiti
- Husna-Katibu ambaye mama Simba Hamtaki
wajumbe wa kamati kuu ya Jumuia ya wanawake wa CCM
- Shamsa Mwangunga
- Hawa Ghasia
- Zainabu Mwamwindi
- Furahia Abdallah
- Fatuma Tawafiq
- Lucy Mayenga
- Lediana Mngongo
- Subira Mohamed
- Zainabu Shomari.
Hiyo nidyo safu kuu..Sipendi kuwa mnafiki,mbona imejaa watu wa alama nyekundu?