Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Tumekuwa naye Chuo UDSM kabla sijahitimu..so muziki ulituunganisha tukafahamiana mkuu.


Kumbe ni ka-graduate!??

Ila swali langu; una uhakika gani sio she-male!???
 
Kwanza anauhakika gan kama anayo?wakat inatoka hata kwa baiskeli
bikra sio layer kama inavofahamika mkuu, hata kama layer ilitoka kwa baiskeli lakini hakuwahi kujigi jigi anahesabiwa ni bikra huyo!
 
Kumbe ni ka-graduate!??

Ila swali langu; una uhakika gani sio she-male!???
Bado hakaja-graduate mkuu..kapo shule pale. Kuhusu kutokua she-male: Actually sina uhakika 100% coz sijawahi kumuona naked ila ukikutana naye, mwili wake ni wa kike kabisa. Chuchu,hips,tabia,company yake pia ni mamanzi kibao n.k...ila tu anapenda kuvaa pants za ki-Tomboy.
 
Cha ajabu nini, mbona wenzie kina Lady JayDee, Ruby na Shilole wote mabikira?
 


Nashukuru mkuu! Nitamtafuta...
 
endelea kujitunza mwaya, mangumbaru yasikudake lol
 
hamna kitu kama hicho labda bikira ya t.a.k.o ila nyinge hakuna mana ile nyimbo yake na yule msaga sumu maona anayorud anaoneka mjuvi kwel
 
Nafikiri tuwaulize salama jabir na Getty kama wana bikira.kama wanazo na huyu atakuwa nayo.ila kama hawana na huyu atakuwa hawa.maana wale ndo wagumuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…