Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Kwa hiyo sura ni lazima ulewe kwanza kabla ya mgegedo so inawezekana. Vinginevyo ni namna tu ya kutafuta attention ya wagegedaji coz anakaa na ukame muda mrefu.
 
bikra sio layer kama inavofahamika mkuu, hata kama layer ilitoka kwa baiskeli lakini hakuwahi kujigi jigi anahesabiwa ni bikra huyo!
Utafiti unaonyesha wasichana waliozaliwa kuanzia miaka ya 1995 hawakuzaliwa na bikra..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daaaaah nilivyoona hzo picha nikajua ni sholo mwamba huyo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kinakanumba na lulu walitudanganyaga hivyo hivyo mwenyezimungu aliwaumbua
 
Weweee mwanamke hawezi kukosa mtu wa kumt.ia hata awe mbaya kiasi gani. Ndio maana hata vichaa wanapewa mimba tena sio vichaa wenzao ila wanapewa na wavaa tai kabisa

Mwenye akili timamu kwel anaweza mwingilia kichaa? [emoji848][emoji848][emoji848] labda kama ni masharti ya mgangaa
 
ni kweli huyu dada sijawahi kukutana nae..
ila namuangaliaga tu..
namuona kama kina lily kim
wanachana huku wamevaa magauni...
huyu chemical anapenda tu u tom boy na homoni zake ndiko zinakompeleka ila sio kama walemalesbian wanajifanyaga wanaume kabisaaa.


huyu hata show zake sometimes anavaa vibukta vya kike ...
yuko vizuri kwakweli...[emoji7][emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…