Rapa Mtanzania kuwania tuzo za Grammy

Rapa Mtanzania kuwania tuzo za Grammy

kalagabaho

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,457
Reaction score
5,893
Rapa mwenye asili ya Tanzania Allan Kyariga maarufu kama Allan Kingdom Kwa mara ya atawania tuzo kubwa na zenye heshima ya kipekee duniani, Tuzo za Grammy. Allan Kingdom, mama yake ni mtanzania na baba yake ana asili ya marekani ametajwa kuwania tuzo za Grammy 2016 katiak vipengele viwili. Rapa huyo mwenye uwezo wa kipekee ameshirikishwa na Kanye West kwenye album yake ya mwaka huu ?So Help Me God?. Rapa huyo aliyezaliwa mwaka 1994 nchini Canada Wimbo wake wa ?ll Day?umemuwezesha kutajwa katika vipengele vya Best Performance na Best Rap Song zinazopatikana kwenye album yake ya Ep Nne.


https://www.youtube.com/watch?v=EA9FR1kiWxE

attachment.php
 

Attachments

  • Allan_009_nxk8nd.jpg
    Allan_009_nxk8nd.jpg
    115.6 KB · Views: 2,233
Nimefuatilia historia yake... sio Mtanzania lakini vile vile hajasahau kwamba ana asili ya Tanzania manake hata ukitembelea kwenye ukarasa wake wa Facebook; amemu-wish Magufuri ikionesha wazi kwamba ingawaje Kibongobongo ame-punch lakini bado anafuatilia hata kama ni kwa uchache kinachoendelea nchi ya asili ya mama yake!

Don't forget, he's just a kid kwahiyo hata kama TZ hajawahi kukanyaga, kwa umri wake wa 21 years siwezi kumlaumu!! Nina mdogo wangu ana 21 years lakini wala hafahamu kijiji kinafananaje fananaje zaidi ya kuona kwenye tv! Sasa tutamlaumu vp huyu wakati sie wa kumpeleka hatuendi??!!!
 
Nani anamjua hapa Tanzania, hata wewe mtoa mada humjui ni umekurupuka tu.
 
At least, you've made some sense..
Nimefuatilia historia yake... sio Mtanzania lakini vile vile hajasahau kwamba ana asili ya Tanzania manake hata ukitembelea kwenye ukarasa wake wa Facebook; amemu-wish Magufuri ikionesha wazi kwamba ingawaje Kibongobongo ame-punch lakini bado anafuatilia hata kama ni kwa uchache kinachoendelea nchi ya asili ya mama yake!

Don't forget, he's just a kid kwahiyo hata kama TZ hajawahi kukanyaga, kwa umri wake wa 21 years siwezi kumlaumu!! Nina mdogo wangu ana 21 years lakini wala hafahamu kijiji kinafananaje fananaje zaidi ya kuona kwenye tv! Sasa tutamlaumu vp huyu wakati sie wa kumpeleka hatuendi??!!!
 
Hahahaa sasa Utanzania wake uko wapi??? Me nikadhani Fid Q😉
 
Nani anamjua hapa Tanzania, hata wewe mtoa mada humjui ni umekurupuka tu.

Basi wewe ndio unamjua..wa bongo mlivyo wachawi mshachukia mnataka.tuwe sawa tuchekane.. wanga wakubwa nyinyi
 
Back
Top Bottom