Hakuna cha hoja za ukabila ila ujue kabisa mama anajaza timu yake ya wavaa madera! Mfano mkuuwa mkoa wa mwanza Malima uwezo wake mdogo alishakuwa mara badae Tanga hakuna la Maana alilofanya tofauti na kuwa mtu wa ndumba na majini!Hivi kwa nini cdm hoja zenu mnajenga kwa misingi ya ukabila au udini?
Ok..next question. Kwa nini cDm mna chuki na dini ya 'wavaa madera' kama ulivyoiita?Hakuna cha hoja za ukabila ila ujue kabisa mama anajaza timu yake ya wavaa madera! Mfano mkuuwa mkoa wa mwanza Malima uwezo wake mdogo alishakuwa mara badae Tanga hakuna la Maana alilofanya tofauti na kuwa mtu wa ndumba na majini!
1)Mwanza -Adam Malima mwislamOk..next question. Kwa nini cDm mna chuki na dini ya 'wavaa madera' kama ulivyoiita?
1)Mwanza -Adam Malima mwislamOk..next question. Kwa nini cDm mna chuki na dini ya 'wavaa madera' kama ulivyoiita?
samia ni mbaguzi!Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe!
Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk!
Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya utendaji ni mbovu ikiwa ni pamoja na kupenda udokozi!
Tambueni tu hichi chama saizi kiko kwa wenye chama akina Makamba na Mosses!
Chegeni jitahidi kukumbuka kuwa mlimkejeli Magufuli ukijifariji kuwa kwa vile yu mauti mambo yako yataenda unavyotaka bila kujua kuwa watu wa ukanda huo wa nyonyo hususani wenye nasaba ya Magufuli hamtakiwi ila kwa vile mengi wenu ni vichwa maji hamjui! Humuoni hata Kafulila msukukuma wa Kigoma katemwa!,Robert Gabriel msukuma wa shinyanga naye katemwa! Akili mkichwa!
Baba yake Msukuma alikuwa mwalimu kigoma akazaliwa huko.Kafulila kumbe ni msukuma ?
samia ni mdini,mbaguzi.1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Make hapo Kwanza ncheke 😂😂😂😂Kupenda udokozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakwambia kateua wavaa madera wengi sana akijipanga kwa uchaguzi,pia tatizo la hawa ndugu zetu kazi hawawezi mswahili ndo jadi yao!samia ni mdini,mbaguzi.
TEC susieni serikali yake mpaka atakapoondoka madarakani!
Kasema msukuma wa kigoma[emoji23][emoji23]Kafulila kumbe ni msukuma ?
Ok kumbe.Baba yake Msukuma alikuwa mwalimu kigoma akazaliwa huko.
Na bado walinzi wake wote wametokea kule kule nyumbani.1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Kwa hiyo ni mnyamulenge ?Kafulila sio muha
Ni chifu jina la kichifu anaitwa Chifu Nkunda
Anatokea Kule anakotokokea Generali Nkunda Mwasi kiongozi wa waasi Kongo
Huyo anaonekana ni mfuasi wa jiweHivi kwa nini cdm hoja zenu mnajenga kwa misingi ya ukabila au udini?
Vipi mikoa iliyobaki ni wavaa nini?? Mana naona hiyo uliyoitaja ni mikoa minne tu.1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
Tabira-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu!
Yani kweli wewe ni boguz tena boguz la kufa mtu umekaa ki udini udini tu yani pitia orodha ya wakuu wa mikoa yote alafu angalia waislam ni wangapi na wakristo ni wangapi ndo utajua wewe ni bogazi bogazi kabisa unanuka udini na ukabila, kama hujui ni kuwa, Idadi ya wakuu wa mikoa wakristo ni wengi kuliko waislam alafu unasema mama ni mdini yani wewe Hujielewi yani Akili za Mataga hizi, Mkiona majina ya kiarabu basi Mate yanawatoka shingo inawakunjamana ila yakifululiza yakiroma Mnauchuna kama sio nyie Acha udini boguz wewe1)Mwanza -Adam Malima mwislam
2)Mara- General Suleiman mwislam
3)Shinyanya-Sofia Mjema mwislam
4)Simiyu- Yahya Nawanda mwislam
5)Tabora-Batrida Buriani mwislam
Hapo kuna la Maana tofauti na mswahili! Kataoa wote wakristo na watu wachapa kazi kaleta waswahili ujinga wa hali ya juu! Anajipanga kwa ajili ya kampeni utendaji zero!
Cheki hili nalo udini udini tu umewakaa kichwanisamia ni mdini,mbaguzi.
TEC susieni serikali yake mpaka atakapoondoka madarakani!
Kwenye baraza la mawaziri la magu mawaziri waislam walikua wawili pm watatu,sijui tuseme magu nae alikua mdini!Yani kweli wewe ni boguz tena boguz la kufa mtu umekaa ki udini udini tu yani pitia orodha ya wakuu wa mikoa yote alafu angalia waislam ni wangapi na wakristo ni wangapi ndo utajua wewe ni bogazi bogazi kabisa unanuka udini na ukabila, kama hujui ni kuwa, Idadi ya wakuu wa mikoa wakristo ni wengi kuliko waislam alafu unasema mama ni mdini yani wewe Hujielewi yani Akili za Mataga hizi, Mkiona majina ya kiarabu basi Mate yanawatoka shingo inawakunjamana ila yakifululiza yakiroma Mnauchuna kama sio nyie Acha udini boguz wewe