Rapper John Woka apata ajali ya kulipukiwa na gesi, yupo ICU Muhimbili

Mwenyezi Mungu awape wepesi wafiwa. Nilipenda staili yake ya uongeaji/rap katika nyimbo zake. Duniani tunapita.
 
Duh.......moja ya wasanii niliokuwa nawapenda. R.I.P John Walker
 
Dah aisee Poleni wafiwa na Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi ....
Mimi nakunywa hela kutokana na pombe zangu aaaaa ninakunywa pombe kutokana na hela zangu
 
Jamani nakiri kabisa nimeumia sana Moyoni! Poleni wazazi, Master J, Prof Rudigo, Marlon Linje (Baba George) Na wengineo wengi wa enzi zile pale Masaki Mj Records.
 
Pole kwa wafiwa wote jamani mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu!!
 
Hawa jamaa na wagosi wakaya ni best musicial of all the time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…