Rapper Witness: Nimechora tatoo kiunoni ili nisichepuke

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506


Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno chake.

Akizungumza ndani ya eNewz amesema “Ukiweka tattoo sehemu niliyoweka mimi inazuia hata unapotaka kumsaliti mwenza wako yule unayekuwa naye ina kunyima hamu kabisa na anashindwa hata kukutamani tena”.

Pia aliendelea kusema kuwa watu wanadhani kuwa kuolewa ndiyo kumaliza kila kitu lakini kwa sehemu ambayo mapenzi yao yamefikia hakuna kitu ambacho anakihitaji tena kwa kuwa mapenzi ni kuungana mkono na Ochu anamsaidia katika kila kitu ninachofanya.

 
Najiuliza hili swali sipati jibu kamili wanachoongea wabongo. ... kimombo au kiswahili.....
Tuongee basi kichina kizidi pata jina.........

Wabongo tunaongea SwaNglish
Hahhahahaaaa Kasie tunaongea Google translate
 
Mi nilifikiri hiyo tatoo inazuia kichwa wazi asipite, kumbe?asimtapeli mtoto wa watu, kwa kumuwekea tatoo huku watu wanachonoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…