Rapper Witness: Nimechora tatoo kiunoni ili nisichepuke

eti ukichora tatoo ndo uchepuki,mwambien witness yeye sawa na shilole tu
 
We umechorwa lakini au unakazana kujichafua na mapiko tuuu!
 
View attachment 386192kwahiyo hapo kaiweka ili asisaliti[emoji15] [emoji15] [emoji15] nikajua itawekwa hapa

Mkuu hapa kuna ujumbe hatujajuzwa vizuri....hivi wakati wa kugegedana hiyo tatoo inakuwa mbele au nyuma....na stail gani itakuwa inatumika hapa ili ujumbe huo usomeke kwa huyo mchepushaji?.
 
Sasa tatooo mbona ipo mgongoni mtu ataonaje au ndo mpka mbuzi kagoma kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…