Hah ha haaaaa haa, eti kama kiroba!!Hicho kiuno au kitambi??kiuno gani kimekaa kama kiroba cha mchele
Ha ha ha eti chupi la zambarau,...daah.Kuna ile picha alipiga na chupi la dhambarau alikua na mtoto sina uhakika kama ni wake
Tena hadi ageukie upande wa piliSasa mbona asiichore usoni ili mtu aone haya kabla haja mtongoza, sasa kiunoni siatakuwa ashavuliwa nguo kabisa. Hiyo ni kuiga tu vitu visivyo na msingi,
ha ha ha ha ha eti chupi la zambarauKuna ile picha alipiga na chupi la dhambarau alikua na mtoto sina uhakika kama ni wake
View attachment 386192kwahiyo hapo kaiweka ili asisaliti[emoji15] [emoji15] [emoji15] nikajua itawekwa hapa