Rashid Mfaume Kawawa kama Mhogo Mchungu

Rashid Mfaume Kawawa kama Mhogo Mchungu

Alnadaby

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2006
Posts
505
Reaction score
41
Kuna movie fulani ambayo Rashid Kawawa ali act kama Mhogo Mchungu enzi hizo.Ningependa sana kumuona akiwa katika action wakati huo.Nasikia alikuwa hodari sana na alifurahisha watu wengi.

Katika kumbukumbu ya watu mashuhuri kwenye movie industry,Kawawa ni mmojawapo na naomba wenye mkanda huo wafanye mipango ya kuutayarisha upya ili kumbukumbu za huyu Simba wa Vita zisiishie kwenye siasa tu.Alikuwa Msanii mzuri na hiyo ni moja ya sifa zake ambazo naomba ziwekwe kwenye rekodi.
 
Kuna movie fulani ambayo Rashid Kawawa ali act kama Mhogo Mchungu enzi hizo.Ningependa sana kumuona akiwa katika action wakati huo.Nasikia alikuwa hodari sana na alifurahisha watu wengi.

Katika kumbukumbu ya watu mashuhuri kwenye movie industry,Kawawa ni mmojawapo na naomba wenye mkanda huo wafanye mipango ya kuutayarisha upya ili kumbukumbu za huyu Simba wa Vita zisiishie kwenye siasa tu.Alikuwa Msanii mzuri na hiyo ni moja ya sifa zake ambazo naomba ziwekwe kwenye rekodi.

Wazo zuri sana nafikiri sio wa Simba huyu tu ila hata ile mingine ya kina Yombayomba inavuta hisia sana na kumbukumbu kama ikitengenezwa na kutunzwa vizuri. Inaonyesha industry hii ilipoanzia na ilipo sasa
 
Sijui kama itakuwa rahisi kupata hio movie,kwa sababu nakumbuka ilipigwa marufuku kuonyeshwa.Ali act kama kijana aliyetoka bara,maisha yakawa magumu Dizim akawa mwizi
 
Back
Top Bottom