Kaka Mwanakijiji ,
Kwanza nakupa Hongera, Huu ndio ujasiri tunaoutaka humu ndani ya JF.
Na nilazima awachie ngazi ama auelezee umma Manufaa gani Umma unapata kwa kuwepo kwake hapo, Kama anashindwa hata kupata dondoo tu ya mambo hasa katika wakati wa Utandawazi.
Iweje Usalama wa MIAKA ile ya mwalimu wawe wanaweza kunusa taarifa mapema kuliko hawa akina RO. Nilazima kuna namna.
RO tueleze SISI kama wanajimii tunafaidika vipi na uwepo wako. NA Jee credibility ya Taasisi unayoiongoza unaipeleka wapi.
Thanks, Mwanakijiji, Tuendeleze Kusema ingawa hawa jamaa kwa kawaida wanataka waropokwe wao tu , wewe ukisema .............