Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Hadi matiti yake bado yamesimama
Sasa hiyo picha haitupi uwanja mpana kujiridhisha kauli zako mkuu. Umetunyima nafasi kuhakiki mawazo yetu
Anyways basi sawa kagoma
Ni bibi huyo aliyejiboost plus ulaji wa zile njugu za madavida.
Kama ni hivyo, basi kila mtu ale njugu na kujiboost. Tuache tabia za kuwazushia wengine kashfa.Ni bibi huyo aliyejiboost plus ulaji wa zile njugu za madavida.
Nadhani ni has been mkuu na sio was beenYes mkuu Ila nimependa mwonekano wake sio rahisi mwanamke kusumbua miongo mitatu mfululizo she was been on map since 2000
Hata mimi nadhani ungekua unaweka vituo kwenye sentensi zako mkuu.Ushauri wako ni mzuri.Nadhani ni has been mkuu na sio was been
Back in topic Kuna watu Wana udongo na wanajua kuutunza
Nakumbuka middle 2000s akina Dully Sykes wzlikuwa wanamuimba kwa kigezo cha demu mkali, about 20 years agoWakuu katika harakati zangu za kutafuta chakula cha macho mara nakutana na Rashida wanjara.
She is still looking young and energetic kumbe wakuu kujitunza muhimu
Maana Dada zetu wengine wamezaliwa 2000s Ila wameshaisha .
Siri anasema ni kuweka balance katika mambo yote
Ni arobaini na tatu tu.50 siyo mchezo.Anaweza akawa na miaka 50 ,na ngapi kwa sasa?
40+Anaweza akawa na miaka 50 ,na ngapi kwa sasa?
Masikhara hayo nilidhani ni Mama yake dayamondiWakuu katika harakati zangu za kutafuta chakula cha macho mara nakutana na Rashida wanjara.
She is still looking young and energetic kumbe wakuu kujitunza muhimu
Maana Dada zetu wengine wamezaliwa 2000s Ila wameshaisha .
Siri anasema ni kuweka balance katika mambo yote
Ni kweli tangu nikiwa mdogo huwa namuona hivyo hivyo habadiliki.
Mwingine ni Muhogo mchungu sema yeye tangu namjua ni mzee hivyo hivyo sijui kama muhogo mchungu aliwahi kuwa kijana.
Tokea juu nimeona unasema stress za ngono!Nadhani labda kinachowazeesha wanawake wa GENz ni stress na ngono kupita kiasi