Rasimu ya katiba haina Jibu kwa watendaji wakuu wasiyo waaminifu

Rasimu ya katiba haina Jibu kwa watendaji wakuu wasiyo waaminifu

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
  • MFANO MADARAKA YA UTEUZI BILA KUSHIRIKISHA BUNGE
  • """""""""MADARAKA YA RAIS

Ndugu Wananchi,
Tume inapendekeza kwamba, Rais abaki na madaraka ya uteuzi wa viongozi wa ngazi za juu. Hata hivyo inapendekezwa Rais ashirikiane na taasisi na vyombo vingine katika uteuzi. Kwa mfano:

Uteuzi wa Mawaziri na Manaibu Waziri, Rais atateua na Bunge litathibitisha.

Kuhusu Jaji Mkuu na Naibu Jaji Mkuu Rais atawateua kutokana na majina ya watu waliopendekezwa na Tume ya Uutumishi wa Mahakama na baada ya hapo Bunge litathibitisha.

Kuhusu Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama inapendekezwa kianzishwe chombo kipya kitakachoitwa Baraza la Ulinzi na Usalama la Taifa, ambalo kati ya majukumu yake itakuwa ni kumshauri Rais kuhusu uteuzi wa Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Kuhusu Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu watateuliwa na Rais kutokana na mapendekezo ya Tume ya Utumishi wa Umma.""""""



 
Hapa tutawaona wakina Ridhwani wakiteuliwa na kupewa uwaziri serikaili ijayo ya CCM
 
Hapa tutawaona wakina Ridhwani wakiteuliwa na kupewa uwaziri serikaili ijayo ya CCM

acheni kupotosha.'bunge' linapewa mamlaka hapo sasa kama wakicheza sisi kama wapiga kura tutamalizana nao hao wabunge.kwa sasa rais anaweza hata kuteua shemeji yake na asihojiwe na mtu yeyote but kama ujinga kama huo ukitokea na bunge likapitisha sisi tunawahukumu wao.na hivyo tumepewa mamlaka ya kuwatengeneza any time mbona hao wa kwetu tu!!!zile za naunga mkono hoja mia kwa mia then unaanza kulia kisanii jimboni kwangu kuna matatizo mbona hizo tutazikomesha tu mkuu wala usijali.watz wa sasa sio wa mwaka arobaini na tano.
 
hebu usiwe na akili kama za sungura! Haya mambo yameleta matatizo saana kenya, mpaka wakachapana, baaadae wakaelewana, Majina ya wateuliwa wapigiwe kula na wabunge!

mambo ya upendeleo yanarudisha nyuma maendeleo yetu! ndio maana tupo hapa mpaka leo
acheni kupotosha.'bunge' linapewa mamlaka hapo sasa kama wakicheza sisi kama wapiga kura tutamalizana nao hao wabunge.kwa sasa rais anaweza hata kuteua shemeji yake na asihojiwe na mtu yeyote but kama ujinga kama huo ukitokea na bunge likapitisha sisi tunawahukumu wao.na hivyo tumepewa mamlaka ya kuwatengeneza any time mbona hao wa kwetu tu!!!zile za naunga mkono hoja mia kwa mia then unaanza kulia kisanii jimboni kwangu kuna matatizo mbona hizo tutazikomesha tu mkuu wala usijali.watz wa sasa sio wa mwaka arobaini na tano.
 
umeonaeee!!!wamechapana baadae wameelewana!!!!tutafika tu na sisi huko kwenye maelewano iwe kwa maridhano au kwa kuchapana usijali mkuu.kanchi ketu sote haka.
 
hapa si wazo zuri kabisa kuchapana. hebu fungueni pamba masikioni muwape wananchi uhuru wao, yaani wewe mweusi kabisa unaishi kwa kuwanyonya wenzio bila sababu za msingi kabisa? wananchi wanapumbazwa kama enzi za ujima! alafu unatoa kifua mbele unasema wewe Mtanzania kwa lipi?

umeonaeee!!!wamechapana baadae wameelewana!!!!tutafika tu na sisi huko kwenye maelewano iwe kwa maridhano au kwa kuchapana usijali mkuu.kanchi ketu sote haka.
 
mkuu we tulia hapa kuchapana huko mbele ya safari mbona kupo tu hakukwepeki?we unadhani sisi tutaendelea kuendekeza ujinga?kuna wajinga wachache wanatuona watanganyika mazezeta so wanajua watatupeleka watakavyo.we tulia tu mkuu mbona mwenyewe utashuhudia?haka kanchi ketu sote mkuu
 
mkuu we tulia hapa kuchapana huko mbele ya safari mbona kupo tu hakukwepeki?we unadhani sisi tutaendelea kuendekeza ujinga?kuna wajinga wachache wanatuona watanganyika mazezeta so wanajua watatupeleka watakavyo.we tulia tu mkuu mbona mwenyewe utashuhudia?haka kanchi ketu sote mkuu

naogopa sijajua kama unahasira kama nyumbuu
 
Back
Top Bottom