Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Tume ya Jaji Warioba ilisema nini kuhusu Haki za Walemavu?

Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Tume ya Jaji Warioba ilisema nini kuhusu Haki za Walemavu?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210205_152527_0000.png


Haki za watu wenye ulemavu: 45.-(1) Mtu mwenye ulemavu anastahiki, kuheshimiwa, kutambuliwa na kutendewa kwa namna ambayo haishushi utu wake

Kupata elimu kwa kutumia vifaa maalum na kushiriki katika shughuli za kijamii, kuwekewa miundombinu na mazingira yatakayowezesha kwenda anapotaka, kutumia vyombo vya usafiri na kupata habari

Kutumia lugha za alama, maandishi ya nukta nundu, maandishi yaliyokuzwaau njia nyingine zinazofaa

Kusoma, kujifunzana kuchanganyika na watu wengine na kupata ajira na kugombea nafasi za uongozi katika nyadhifa mbalimbali kwa usawa

Aidha, ibara ndogo ya 2 inasema: Mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria utakaowezesha watu wenye ulemavu kushiriki katika nafasi za uwakilishi.
 
Upvote 2
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom