Joyce Kiria
Member
- Aug 6, 2013
- 50
- 109

Hawa watoto wapo Pugu, baba yao ameondoka yapata mwezi na zaidi, hawajui alipo. kwa mujibu wa hawa watoto baba yao aliwaachia unga wa ugali na tsh 5000 tu. ni vigumu kusema amekimbia watoto kwa sababu hakuna mwenye uhakika na hilo. japo maswali ni mengi ukiwasikiliza hawa watoto.

Rasimu itoe Wajibu kwa wazazi, baadhi ya wababa wanakwepa majukumu ya kulea watoto wao.

Kwenye Rasimu kuna kipengele kinachowabana wazazi hasa BABA kuhusu Wajibu wa Kulea watoto wanaowazaa??? ukiacha hili tukio la hawa watoto ambao hatujui baba yao kapatwa na nini, kuna baadhi ya wakinababa wamekuwa na hulka ya kupenda kuzaa na kukimbia majukumu ya kulea watoto, tena hii tabia inakithiri kila kukicha...KUONA VIDEO YA HAO WATOTO INGIA Joyce Kiria | Wanawake Live™