Rasimu ya katiba mpya, bado maswali ni mengi, Lisu tusaidie

Rasimu ya katiba mpya, bado maswali ni mengi, Lisu tusaidie

Dalbergia

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
23
Reaction score
1
Kwanza, binafsi sikubaliani na jina la Tanzania bara,jina napendekeza jina la Tanganyika kwa sababu Jina la Tanzania linatokana ja muunano wa Tanganyika na Zanzibar. Hinyo kama mnapendekeza kuirudisha serikali ya Tanganyika iandikwe Tanganyika.

pili bado sijaelewa namna ya katiba ya hiyo Tanganyika itakuwaje. Kwamba ishu muhimu ilikuwa ni katiba ya Tanganyika, kwakuwa Zanzibar tayari wanayo katiba Yao na serikali ya muungano itakuwa haina mambo mengi na eneo maalumu la kusimami haitakuwa na rasilimali za kusimania. Serikali ya Tanganyika ndo itakuwa na changamoto kubwa ya uongozi,na ndiyo yenye watu wengi na maskini. Hivyo tunataka tujuwe mchakato wa katiba yake ni lini, na uchaguzi wake ni lini.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kwanza, binafsi sikubaliani na jina la Tanzania bara,jina napendekeza jina la Tanganyika kwa sababu Jina la Tanzania linatokana ja muunano wa Tanganyika na Zanzibar. Hinyo kama mnapendekeza kuirudisha serikali ya Tanganyika iandikwe Tanganyika.

pili bado sijaelewa namna ya katiba ya hiyo Tanganyika itakuwaje. Kwamba ishu muhimu ilikuwa ni katiba ya Tanganyika, kwakuwa Zanzibar tayari wanayo katiba Yao na serikali ya muungano itakuwa haina mambo mengi na eneo maalumu la kusimami haitakuwa na rasilimali za kusimania. Serikali ya Tanganyika ndo itakuwa na changamoto kubwa ya uongozi,na ndiyo yenye watu wengi na maskini. Hivyo tunataka tujuwe mchakato wa katiba yake ni lini, na uchaguzi wake ni lini.

Take 5! I can not agree more! kama kuna Tanzania bara basi kuwe na Tanzania Visiwani, vinginevyo twende na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar, then Serikali ya muungano wa Tanzania; in that order!!
 
wakuu ukisoma rasimu ya katiba utagundua kuna mambo mazuri sana lakini je yatapita kwenye bunge la katiba.ujue kuwa mbunge hawezi kugombea zaidi ya mara tatu.na ukiangalia bunge kwa sasa kuna watu mimi sijazaliwa nawasikia hadi leo nina watoto still wako.kimsingi ina mambo mazuri je yatapita kwenye mabaraza ya katiba
 
Tangu jana nimesema tume ya rasmu ya katiba imejichaganya ima kwa makusudi au pasipokuwa na uelewa zaidi ya walipoishia. hadidu za rejea ilikuwa ni kuandaa rasimu ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. sasa wao wametokoroga kwenye muundo wa muungano na muundo wa serikali ya muungano. tume imependekeza mambo ya muungano yawe saba tu wakati huo huo mawaziri 15 hawa wanasimamia shughuri zipi hali yakuwa mambo ya muungano ni 7? pia wameng'ang'ania tanzania bara kulitaja katika rasmu yao ili kuukwepa ukweli wa tanganyika, wnasema serkali 3, hawaelezi serikali ya Tanganyika bara muundo wake upoje, Madaraka ya serkali ya Tanganyika yataongonzwa na katiba ipi lakini pia Ikulu ya JMT haitajwi ipo wapi? hiyo ya magogoni ni yakwetu Tanganyika. yaaaaaaaaani full kuchanganyikiwa kwenye sehemu hiyo ya Muundo wa Muungano na Serkali ya Muungano.
 
Dah mpaka nimechoka wakuu hii katiba full kujichanganya eti kila jimbo wabunge wawili n mwanaume na mwanamke alafu vti maalum nnje Sasa kutakuwa na mgombea mwenza wa ubunge au sujaelewa
 
Tangu jana nimesema tume ya rasmu ya katiba imejichaganya ima kwa makusudi au pasipokuwa na uelewa zaidi ya walipoishia. hadidu za rejea ilikuwa ni kuandaa rasimu ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. sasa wao wametokoroga kwenye muundo wa muungano na muundo wa serikali ya muungano. tume imependekeza mambo ya muungano yawe saba tu wakati huo huo mawaziri 15 hawa wanasimamia shughuri zipi hali yakuwa mambo ya muungano ni 7? pia wameng'ang'ania tanzania bara kulitaja katika rasmu yao ili kuukwepa ukweli wa tanganyika, wnasema serkali 3, hawaelezi serikali ya Tanganyika bara muundo wake upoje, Madaraka ya serkali ya Tanganyika yataongonzwa na katiba ipi lakini pia Ikulu ya JMT haitajwi ipo wapi? hiyo ya magogoni ni yakwetu Tanganyika. yaaaaaaaaani full kuchanganyikiwa kwenye sehemu hiyo ya Muundo wa Muungano na Serkali ya Muungano.



Nikwamba, watu bawaelewi kwamba mambo yote yaliyo ktk rasimu hayahusu serikali ya Tanganyika, hivyo kama hatutakua makini, katiba ya Tanganyika ambayo ndiko kwenye umuhimu tutachakachuliwa. Muungano bila Tanganyika siyo dili, katiba ya kusimamia rasilimali za Tanganyika yenye watu 40milioni iko wapi.
 
Take 5! I can not agree more! kama kuna Tanzania bara basi kuwe na Tanzania Visiwani, vinginevyo twende na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar, then Serikali ya muungano wa Tanzania; in that order!!

yaani apo ndo walipokose kwa mara ya kwanza.
Pili kuwa kila jimbo la muungano litatoa wabunge 2 mwanamke na mwanaume.
 
Dah mpaka nimechoka wakuu hii katiba full kujichanganya eti kila jimbo wabunge wawili n mwanaume na mwanamke alafu vti maalum nnje Sasa kutakuwa na mgombea mwenza wa ubunge au sujaelewa

Hap no wabunge wa kusimamia serikali ya muungano tu, bado kutakuwa na bunge la Tanganyika ambalo bill litakalo Somalia mambo yote ya Tanganika ikiwemo kukusanya kodi na kuwaletea maendeleo watu 40 milioni, hill la muundo wa Tanganyika tume imeliepa na haijulikani litafanyiwa nazi lini
 
Pia ikumbukwe kwamba sisi ni tofauti sana na Kenya, katiba yetu kuwa na mambo yanayo fanana na Kenya haitatusaidia sisi wa Tanganyika kwani katiba ya muungano haina vipengere vya kulazimisha serikali wasirika kufanya au kufuata matakwa ya muungano na ndio maana sehemu nyingimu inaachia serikali washirika zijiamulie mambo Yao wenyewe.

Navyowajua wa chamakongwe, watapeleka mambo Yao yote katika serikali ya Tanganyika kuanzia na tume Yao ya uchaguzi wataihamishia huko,na mikataba Yao Tata watakwenda kuilindia huko. Hivyo nionavyo mini bado ccm hawajanionyesha his ya Shari ya kutupstia watanganyika katipa mpya ya kututoa ktk umaskini huu.
 
Kwanza, binafsi sikubaliani na jina la Tanzania bara,jina napendekeza jina la Tanganyika kwa sababu Jina la Tanzania linatokana ja muunano wa Tanganyika na Zanzibar. Hinyo kama mnapendekeza kuirudisha serikali ya Tanganyika iandikwe Tanganyika.

Magazeti ndo yanaongea habar ya Tanzania Bara na sielewi kwann ila Tume yenyewe imesema ni Tanganyika
 
Kwa hili nakubaliana nalo. Kuunda nchi mpya ya Tanzania bara kunapoteza historia ya nchi. Maana, kama mlivyonena kwa usahihi kabisa jina Tanzania linatokana na kuungaunga herufi za majina ya nchi mbili zilizozaa muungano:Tanganyika na Zanzibar. Sioni mantiki ya kutunga jina linguine la Tanzania Bara. Suala la uandikaji wa katiba ya Tanganyika na Zanzibar kama mlivyosema itakuwa na changamoto kubwa kuliko ilivyokuwa katika uandikaji wa katiba ya Tanzania. Ingekuwa nimepewa nafasi ya kutoa maoni ningeshauri iandikwe katiba moja tu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ingeunda serikali zote tatu badala ya kuwa na katiba tatu.
 
Back
Top Bottom