Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Salaam Wadau wa JF.
Kama mnavyofahamu kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamesambaa mikoani wakichukua maoni ya wananchi juu ya rasimu ya katiba mpya.
Uongozi wa Chadema jimbo la Ukonga wameandaa mikutano miwili hapo kesho jumapili kwa lengo la kupata/kukusanya maoni ya wananchi wa Ukonga kuhusu rasimu ya katiba mpya.
Mkutano wa kwanza utakuwa ni mkutano wa ndani kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo utakaoanza asubuhi saa 3:00 hadi saa 7:00 mchana.
Baadae mchana kuanzia saa 8:00 kutakuwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika katika uwanja wa Kampala uliopo Gongolamboto.
Wadau wote mnakaribishwa kujumuika nasi ili tushiriki kikamilifu katika kutengeneza katiba bora kwa kizazi chetu na vizazi vijavyo!
Kama mnavyofahamu kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamesambaa mikoani wakichukua maoni ya wananchi juu ya rasimu ya katiba mpya.
Uongozi wa Chadema jimbo la Ukonga wameandaa mikutano miwili hapo kesho jumapili kwa lengo la kupata/kukusanya maoni ya wananchi wa Ukonga kuhusu rasimu ya katiba mpya.
Mkutano wa kwanza utakuwa ni mkutano wa ndani kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo utakaoanza asubuhi saa 3:00 hadi saa 7:00 mchana.
Baadae mchana kuanzia saa 8:00 kutakuwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika katika uwanja wa Kampala uliopo Gongolamboto.
Wadau wote mnakaribishwa kujumuika nasi ili tushiriki kikamilifu katika kutengeneza katiba bora kwa kizazi chetu na vizazi vijavyo!