Rasimu ya katiba mpya inampa kiwewe jakaya?

Rasimu ya katiba mpya inampa kiwewe jakaya?

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Pamoja na upole na sauti yake isiyo na makeke Rais wetu, sauti yake wakati anaadress kamati kuu inaonyesha ya unyonge sana, je ? ana hofu kuingia kwenye historia ambayo itaandika kwamba Muungano ulianzishwa na JK, umefia mikononi mwa Jk au ametoka na homa huko Japan.?
 
KAMA NI ISHU YA MUUNGANO SIKILIZA MANENO YA MAALIM SEIF. MANUIZI YA UYU JAMAA LAZIMA MUUNGANO AUVUNJE NA C JKIKWETe
 
Back
Top Bottom