Rasimu ya katiba mpya,Tanganyika hajatajwa popote

Rasimu ya katiba mpya,Tanganyika hajatajwa popote

Pamwanya

Senior Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
173
Reaction score
23
Nimeisoma rasimu nzima ya katiba mpya lakini sijaona sehemu yoyote ilipotajwa tanganyika,nijuavyo mimi tanzania ni munganiko wa baadhi ya herufi toka neno zanzibar na tanganyika.lakini katika ibara ya 57 ya rasimu inayoelezea muundo wa serikali 3 imetajwa (a) serikali ya muungano (b)serikali ya mapinduzi ya zanzibar na (c)serikali ya tanzania bara.hapa kwenye tanzania bara kwa nn isiwe serikali ya tanganyika?
 
Ukisikia kiini macho cha magamba ndio hicho.
 
Back
Top Bottom