Sio suala la kuwasikiliza, miaka yote tumeishi katika serikali mbili kwa gharama yautambulisho wetu Tanganyika,
Waliunda Kamati ya Kushughulikia KERO za Muungano, sasa kwa miaka yote hii kero zimeisha? Alianzisha Katibu Mkuu Makamba, akaja Mukama, na sasa Kinana lakini hakuna lolote ni ahadi tu tuwasikilize nini tena? Tume ya Warioba imewasikiliza tena kwa kina lakini wananchi wameamua ziwe serikali tatu.
Waache wafuwazike wafu wenzao,
TAFAKARI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hebu tutajia kwanza hizo serikali mbili, usijekuwa umetumwa na chichiemu kupima upepo, maana ndo sera yao!!
Hhahahahah "toa hoja, usipige kelele"
Let think aloud hili ni taifa letu... It is clear Waziri Mkuu wa Tanzania sio wa Muungano... hivyo kumbe already tuna serikali ya Tanganyika... kama waziri mkuu sio wa Muungano... Then already tunayo Serikali ya Tanganyika.. inaongozwa na waziri mkuu. Kwa sasa Kayanza Pinda... Mtoto wa Mkulima.