Rasimu ya Katiba ya Warioba itumike badala ya Kikosi Kazi ambacho hakipo kisheria

Rasimu ya Katiba ya Warioba itumike badala ya Kikosi Kazi ambacho hakipo kisheria

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau nadhani wote tunakumbuka kuwa Suala la KATIBA MPYA iliundwa TUME ya JAJI WARIOBA na Kuandaa RASIMU ya KATIBA lakini Mchakato ulikwama Kwenye BUNGE la KATIBA.

Gharama ya Tume,Rasimu Mpaka Bunge la Katiba ni KUBWA sana Wote ni Mashahidi na KATIBA HAIKUPATIKANA.

Binafsi nashangaa sana Kuona Kazi iliyotumia KIASI Kikubwa cha FEDHA ambazi ni KODI za MASIKINI leo inataka kuachwa na KUUNDA KIKOSI KAZI ambacho nacho kitafanya kazi ile ile ya TUME ya WARIOBA na kutumia tena MABILIONI ya KODI za Wananchi.

RASIMU ya WARIOBA ina KATIBA na TUME Huru ya UCHAGUZU na hiki KIKOSI KAZI kitafanya kazi hiyo hiyo BINAFSI nashauri TUTUMIE RASIMU ya WARIOBA ili kupata KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI badala ya Kuanza UPYA Kufanya hivyo kutatuharakishia Upatikanaji wa KATIBA na TUME HURU na kama kuna Maboresho basi Yafanyike kwenye RASIMU ya WARIOBA ambayo ipo KISHERIA lakini KIKOSI KAZI hakipo Kisheria.

KIKOSI KAZI kipo KUTUMIA KODI za MASIKINI na KUCHELEWESHA UPATIKANAJI wa KATIBA na Wajumbe wake ni WAPIGAJI TU.
 
Wadau nadhani wote tunakumbuka kuwa Suala la KATIBA MPYA iliundwa TUME ya JAJI WARIOBA na Kuandaa RASIMU ya KATIBA lakini Mchakato ulikwama Kwenye BUNGE la KATIBA.

Gharama ya Tume,Rasimu Mpaka Bunge la Katiba ni KUBWA sana Wote ni Mashahidi na KATIBA HAIKUPATIKANA.

Binafsi nashangaa sana Kuona Kazi iliyotumia KIASI Kikubwa cha FEDHA ambazi ni KODI za MASIKINI leo inataka kuachwa na KUUNDA KIKOSI KAZI ambacho nacho kitafanya kazi ile ile ya TUME ya WARIOBA na kutumia tena MABILIONI ya KODI za Wananchi.

RASIMU ya WARIOBA ina KATIBA na TUME Huru ya UCHAGUZU na hiki KIKOSI KAZI kitafanya kazi hiyo hiyo BINAFSI nashauri TUTUMIE RASIMU ya WARIOBA ili kupata KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI badala ya Kuanza UPYA Kufanya hivyo kutatuharakishia Upatikanaji wa KATIBA na TUME HURU na kama kuna Maboresho basi Yafanyike kwenye RASIMU ya WARIOBA ambayo ipo KISHERIA lakini KIKOSI KAZI hakipo Kisheria.

KIKOSI KAZI kipo KUTUMIA KODI za MASIKINI na KUCHELEWESHA UPATIKANAJI wa KATIBA na Wajumbe wake ni WAPIGAJI TU.
NAUNGA MKONO HOJA, ila na mimi naongezea kidogo
1. Warioba alifanya kazi ya kukusanya maoni kamili kabisa ,hakuna aliyelalamika namna ya ukusanyaji wa maoni namatokeo ya maoni yale.
2. Wahafidhina wa CCM walipingana na Maslahi yao ya Muundo wa Serikali 3.
3. Kumbe mkwamo huu jibu lake lingelikuwa Kura ya Maoni kati ya 3 au 1.
4. Baada ya maoni ,Mapendekezo ya Warioba ndiyo pekee yaliyobeba uhalali kwa Nchi hii kwa sasa ,
5. Katibva ya Chenge ni ya CCM peke yao na haina Uhalali ya maoni ya Umma, kwa hiyo ni kitu cha kutupwa kwenye pipa la taka taka mapema wala isitajwe tena.
6. Rasimu ya Warioba iwe ndio Mwanzo wetu kutafuta katiba Mpya ikichanganywa na Mapendekezo ya kamati ya Samia Pendekezwa. SAFARI IENDELEE.
 
NAUNGA MKONO HOJA, ila na mimi naongezea kidogo
1. Warioba alifanya kazi ya kukusanya maoni kamili kabisa ,hakuna aliyelalamika namna ya ukusanyaji wa maoni namatokeo ya maoni yale.
2. Wahafidhina wa CCM walipingana na Maslahi yao ya Muundo wa Serikali 3.
3. Kumbe mkwamo huu jibu lake lingelikuwa Kura ya Maoni kati ya 3 au 1.
4. Baada ya maoni ,Mapendekezo ya Warioba ndiyo pekee yaliyobeba uhalali kwa Nchi hii kwa sasa ,
5. Katibva ya Chenge ni ya CCM peke yao na haina Uhalali ya maoni ya Umma, kwa hiyo ni kitu cha kutupwa kwenye pipa la taka taka mapema wala isitajwe tena.
6. Rasimu ya Warioba iwe ndio Mwanzo wetu kutafuta katiba Mpya ikichanganywa na Mapendekezo ya kamati ya Samia Pendekezwa. SAFARI IENDELEE.
Tatizo kubwa pia kwa hawa Jamaa wa CCM ni ule ukomo wa Ubunge yaani vipindi 3 ruksa. Kisha baada ya hapo lazima ukae pembeni kupisha wengine. Kwenye rasimu ya Warioba hiki kipengele kilikuwepo.
 
Back
Top Bottom