RASIMU ya Katiba

RASIMU ya Katiba

2015ready

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2011
Posts
376
Reaction score
138
RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO
WA TANZANIA
________

YALIYOMO
______
Ibara Kichwa cha Habari
UTANGULIZI

SURA YA KWANZA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SEHEMU YA KWANZA
JINA, MIPAKA, ALAMA, LUGHA NA TUNU ZA TAIFA

1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2. Eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
3. Alama na Sikukuu za Taifa.
4. Lugha ya Taifa na lugha za alama.
5. Tunu za Taifa.


SEHEMU YA PILI
MAMLAKA YA WANANCHI, UTII NA HIFADHI YA KATIBA

6. Mamlaka ya wananchi.
7. Watu na Serikali.
8. Ukuu na utii wa Katiba.
9. Hifadhi ya utawala wa Katiba.

SURA YA PILI

MALENGO MUHIMU, MISINGI YA MWELEKEO WA
SHUGHULI ZA SERIKALI NA SERA ZA KITAIFA
10. Malengo Makuu.
11. Utekelezaji wa Malengo ya Taifa.
12. Sera ya Mambo ya Nje.
SURA YA TATU
MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI NA UTUMISHI WA UMMA

SEHEMU YA KWANZA
MAADILI YA UONGOZI NA UTUMISHI WA UMMA
13. Dhamana ya Uongozi wa Umma.
14. Kanuni za Uongozi wa Umma.
15. Zawadi katika Utumishi wa Umma.

16. Akaunti nje ya nchi na mikopo.
17. Wajibu wa kutangaza mali na madeni.
18. Mgongano wa maslahi.
19. Matumizi ya mali ya umma.
20. Utekelezaji wa masharti ya maadili.

SEHEMU YA PILI
MIIKO YA UONGOZI WA UMMA

21. Utii wa Miiko ya Uongozi wa Umma.
22. Marufuku baadhi ya vitendo.
SURA YA NNE
HAKI ZA BINADAMU, WAJIBU WA RAIA NA MAMLAKA ZA NCHI
SEHEMU YA KWANZA
HAKI ZA BINADAMU
23. Uhuru, utu na usawa wa binadamu.
24. Haki ya kuwa hai.
25. Marufuku kuhusu ubaguzi.
26. Haki ya kutokuwa mtumwa.
27. Uhuru wa mtu binafsi.
28. Haki ya faragha na usalama wa mtu.
29. Uhuru wa mtu kwenda anakotaka.
30. Uhuru wa maoni.
31. Uhuru wa habari na vyombo vya habari.
32. Uhuru wa imani ya dini.
33. Uhuru wa mtu kujumuika na kushirikiana na wengine.
34. Uhuru wa kushiriki shughuli za umma.
35. Haki ya kufanya kazi.
36. Haki za wafanyakazi na waajiri.
37. Haki ya kumiliki mali.
38. Haki ya uraia.
39. Haki ya mtuhumiwa na mfungwa.
40. Haki ya watu walio chini ya ulinzi.
41. Uhuru na haki ya mazingira safi na salama.
42. Haki ya elimu na kujifunza.
43. Haki ya mtoto.
44. Haki na wajibu wa vijana.
45. Haki za watu wenye ulemavu.
46. Haki za makundi madogo katika jamii.
47. Haki za wanawake.
48. Haki za wazee.


SEHEMU YA PILI
WAJIBU WA RAIA NA MAMLAKA ZA NCHI NA MIPAKA YA HAKI ZA BINADAMU

(a) Wajibu wa Raia kwa Taifa
49. Wajibu wa raia.
50. Wajibu wa kushiriki kazi.
51. Ulinzi wa mali ya umma.
52. Haki na wajibu muhimu.
(b) Wajibu wa Mamlaka za Nchi
53. Hifadhi ya haki za binadamu.
54. Usimamizi wa haki za binadamu.
(c) Mipaka ya Haki za Binadamu

55. Mipaka ya haki za binadamu.

SURA YA TANO
URAIA KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO

SURA YA SITA
MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO

60. Muundo wa Muungano.
61. Vyombo vya utendaji vya Jamhuri ya Muungano.
62. Mamlaka ya Serikali ya Muungano.
63. Mambo ya Muungano.
64. Nchi Washirika.
65. Mamlaka ya Nchi Washirika.
66. Mahusiano kati ya Nchi Washirika.
67. Mawaziri Wakaazi.
68. Mamlaka ya wananchi.
69. Wajibu wa kulinda Muungano.
SURA YA SABA
SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO

SEHEMU YA KWANZA
SERIKALI, RAIS, MAKAMU WA RAIS NA BARAZA LA MAWAZIRI

(a) Serikali

70. Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

(b) Rais

71. Rais wa Jamhuri ya Muungano.
72. Madaraka na majukumu ya Rais.
73. Utekelezaji wa madaraka ya Rais.
74. Rais kuzingatia ushauri.
75. Rais kushindwa kumudu majukumu yake.
76. Utaratibu wa kujaza nafasi ya Rais kabla ya kumaliza muda wake.
77. Utekelezaji wa majukumu ya Rais akiwa hayupo.

(c) Uchaguzi wa Rais
78. Uchaguzi wa Rais.
79. Sifa za Rais.
80. Utaratibu wa Uchaguzi wa Rais.
81. Malalamiko kuhusu uhalali wa Uchaguzi wa Rais.
82. Kiapo cha Rais na muda wa kushika madaraka.
83. Haki ya kuchaguliwa tena.

(d) Masharti Mahsusi kuhusu Mamlaka ya Rais

84. Madaraka ya kutangaza vita.
85. Madaraka ya Rais kutangaza hali ya hatari.
86. Mamlaka ya Rais kutoa msamaha.
87. Kinga ya mashtaka dhidi ya Rais.
88. Bunge kumshtaki Rais.
89. Maslahi ya Rais.

(e) Makamu wa Rais

90. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
91. Upatikanaji wa Makamu wa Rais.
92. Sifa za Makamu wa Rais.
93. Kiapo cha Makamu wa Rais.
94. Wakati wa Makamu wa Rais kushika madaraka.
95. Bunge kumshtaki Makamu wa Rais.
96. Upatikanaji wa Makamu wa Rais wakati nafasi hiyo inapokuwa wazi.

SEHEMU YA PILI
BARAZA LA MAWAZIRI LA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO

(a) Baraza la Mawaziri

97. Kuundwa kwa Baraza la Mawaziri.
98. Uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri.
99. Waziri Mwandamizi.
100. Kazi na mamlaka ya Waziri Mwandamizi.
101. Sifa za Mawaziri na Naibu Mawaziri.
102. Kiapo, muda na masharti ya kazi ya Waziri na Naibu Waziri.
103. Utekelezaji wa shughuli za Serikali Bungeni.

(b) Mwanasheria Mkuu wa Serikali

104. Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

(c) Katibu Mkuu Kiongozi na Makatibu Wakuu

105. Katibu Mkuu Kiongozi.
106. Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu.

(d) Utekelezaji wa Shughuli za Baraza la Mawaziri

107. Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu.
108. Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri.

SURA YA NANE
UHUSIANO NA URATIBU WA SERIKALI

109. Tume ya Uhusiano na Uratibu wa Serikali.
110. Malengo ya Tume.
111. Majukumu ya Tume.
112. Sekretarieti ya Tume.

SURA YA TISA
BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO

SEHEMU YA KWANZA
KUUNDWA NA MADARAKA YA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO

113. Kuundwa kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
114. Muda wa Bunge.
115. Madaraka ya Bunge.
116. Mipaka ya Bunge katika kutumia madaraka yake.
117. Madaraka ya Bunge kutunga sheria.
118. Utaratibu wa kubadilisha Katiba.
119. Utaratibu wa kubadilisha masharti mahsusi.
120. Utaratibu wa kutunga sheria.
121. Utaratibu wa kutunga sheria kuhusu mambo ya fedha.
122. Madaraka ya Mkuu wa Nchi kuhusu Muswada wa Sheria.
123. Kupitishwa kwa hoja za Serikali.

SEHEMU YA PILI
WABUNGE

(a) Uchaguzi wa Wabunge

124. Uchaguzi wa Wabunge.
125. Sifa za kuchaguliwa kuwa Mbunge.
126. Utaratibu wa uchaguzi wa Wabunge.
127. Kiapo na masharti ya kazi ya Ubunge.
128. Kupoteza sifa za Ubunge.

129. Haki ya wapiga kura kumwajibisha Mbunge.
130. Uamuzi wa suala kama mtu ni Mbunge.
131. Tamko rasmi la Wabunge kuhusu Maadili ya Uongozi.

SEHEMU YA TATU
UONGOZI WA BUNGE

(a) Spika na Naibu Spika

132. Spika na mamlaka ya Spika.
133. Ukomo wa mamlaka ya Spika.
134. Naibu Spika.
135. Sifa za mtu kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika.
136. Utaratibu wa uchaguzi na kiapo cha Spika na Naibu Spika.

(b) Ofisi ya Bunge

137. Katibu wa Bunge.
138. Sekretarieti ya Bunge.

SEHEMU YA NNE
UTARATIBU WA SHUGHULI ZA BUNGE

139. Kanuni za Kudumu za Bunge.
140. Rais kulihutubia Bunge.
141. Mikutano ya Bunge.
142. Uongozi na vikao vya Bunge.
143. Akidi ya vikao vya Bunge.
144. Kamati za Bunge.

SEHEMU YA TANO
MADARAKA NA HAKI ZA BUNGE

145. Uhuru wa majadiliano Bungeni.
146. Mipaka ya majadiliano Bungeni.

SEHEMU YA SITA
TUME YA UTUMISHI WA BUNGE

(a) Tume ya Utumishi wa Bunge

147. Tume ya Utumishi wa Bunge.
148. Majukumu ya Tume ya Utumishi wa Bunge.

(b) Mfuko wa Bunge

149. Mfuko wa Bunge.

SURA YA KUMI
MAHAKAMA YA JAMHURI YA MUUNGANO

SEHEMU YA KWANZA
MISINGI YA UTOAJI HAKI NA UHURU WA MAHAKAMA

150. Kuanzishwa kwa Mahakama ya Jamhuri ya Muungano.
151. Misingi ya utoaji haki.
152. Uhuru wa Mahakama.

SEHEMU YA PILI
MUUNDO WA MAHAKAMA

(a) Mahakama za Jamhuri ya Muungano

153. Muundo wa Mahakama.

(b) Mahakama ya Juu ya Jamhuri ya Muungano

154. Mahakama ya Juu.
155. Akidi ya vikao vya Mahakama ya Juu.
156. Mamlaka ya Mahakama ya Juu.
157. Madaraka ya Majaji wa Mahakama ya Juu.

(c) Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Juu

158. Uteuzi wa Jaji Mkuu.
159. Uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu.
160. Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Juu.
161. Kiapo cha Majaji wa Mahakama ya Juu.
162. Muda wa kuwa madarakani kwa Jaji Mkuu, Naibu Jaji Mkuu na Majaji wa
Mahakama ya Juu.
163. Utaratibu wa kukaimu nafasi ya Jaji Mkuu.
164. Utaratibu wa kushughulikia nidhamu ya Majaji wa Mahakama ya Juu.

(d) Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano

165. Mahakama ya Rufani.
166. Akidi ya vikao vya Mahakama ya Rufani.
167. Mamlaka ya Mahakama ya Rufani.
168. Madaraka ya Majaji wa Mahakama ya Rufani.

(e)Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani

169. Uteuzi wa Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani.
170. Uteuzi wa Makamu Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani.
171. Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani.
172. Kiapo cha Majaji wa Mahakama ya Rufani.
173. Muda wa kuwa madarakani kwa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Majaji wa
Mahakama ya Rufani.
174. Utaratibu wa kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani.
175. Utaratibu wa kushughulikia nidhamu ya Majaji wa Mahakama ya Rufani.

(f)Usimamizi wa Shughuli za Mahakama

176. Msajili Mkuu wa Mahakama.
177. Majukumu ya Msajili Mkuu wa Mahakama.
178. Mtendaji Mkuu wa Mahakama.
179. Majukumu ya Mtendaji Mkuu wa Mahakama.

SEHEMU YA TATU
TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA NA MFUKO WA MAHAKAMA

(a) Tume ya Utumishi wa Mahakama

180. Tume ya Utumishi wa Mahakama.
181. Majukumu ya Tume ya Utumishi wa Mahakama.
182. Uanachama katika vyama vya siasa.

(b) Mfuko wa Mahakama

183. Mfuko wa Mahakama.

SURA YA KUMI NA MOJA
UTUMISHI WA UMMA KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO

184. Misingi mikuu ya Utumishi wa Umma.
185. Ajira na uteuzi wa viongozi wa taasisi katika Serikali.
186. Tume ya Utumishi wa Umma.
187. Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma.
188. Mamlaka na majukumu ya Tume ya Utumishi wa Umma.

SURA YA KUMI NA MBILI
UCHAGUZI KATIKA VYOMBO VYA UWAKILISHI
NA VYAMA VYA SIASA

SEHEMU YA KWANZA
UWAKILISHI WA WANANCHI

189. Ushiriki katika uchaguzi na kura ya maoni.

SEHEMU YA PILI
TUME HURU YA UCHAGUZI

(a) Kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi


190. Kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi.
191. Kamati ya Uteuzi.
192. Ukomo wa kushika nafasi ya madaraka ya Ujumbe wa Tume Huru ya
Uchaguzi.
193. Wajibu wa Tume Huru ya Uchaguzi.
194. Malalamiko kuhusu uchaguzi.
 
Back
Top Bottom