tc_edo
Senior Member
- Apr 9, 2021
- 123
- 98
Sergio Kun Aguero [emoji1033] amekamilisha usajili wake kujiunga na FC Barcelona baada ya kumaliza vipimo vya afya hivi leo, jumatatu 31 2021. Aguero [emoji1033] (32) amesaini mkataba wa miaka miwili ukiwa na kipengele cha kumwachia endapo timu inayomtaka au yeye mwenyewe italipa/atalipa Euro Million 100 (€100) kabla ya mkabata kuisha. Atajiunga rasmi tarehe 1 July 2021.
Manchester City wamemshukuru Aguero [emoji1033] wakisema, " Kila mtu katika klabu yetu ( Manchester City) anapenda kuchukua nafasi hii kutoa shukrani kwa Aguero [emoji1033] , kwa mchango wake mkubwa hasa mafanikio katika klabu ndani ya miaka yote 10 hivyo nasi tunamtakia kila la kheri."
Aguero [emoji1033] anajiunga na rafiki yake mkubwa, Lionel Messi [emoji1033] [emoji238]. Ageuro [emoji1033] amefunga magoli 260 kati ya mechi 389 ndani ya miaka 10.
Manchester City wamemshukuru Aguero [emoji1033] wakisema, " Kila mtu katika klabu yetu ( Manchester City) anapenda kuchukua nafasi hii kutoa shukrani kwa Aguero [emoji1033] , kwa mchango wake mkubwa hasa mafanikio katika klabu ndani ya miaka yote 10 hivyo nasi tunamtakia kila la kheri."
Aguero [emoji1033] anajiunga na rafiki yake mkubwa, Lionel Messi [emoji1033] [emoji238]. Ageuro [emoji1033] amefunga magoli 260 kati ya mechi 389 ndani ya miaka 10.