Rasmi: Beki kitasa Abdulrazack Hamza wa Simba Sports Club kukosa Mechi ya Derby ya October 19

Rasmi: Beki kitasa Abdulrazack Hamza wa Simba Sports Club kukosa Mechi ya Derby ya October 19

kukumsela

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
725
Reaction score
917
Beki wa kati wa klabu ya Simba SC , Abdulrazack Hamza bado hajafanya mazoezi na klabu yake tangu alipopata majeraha ya njama za paja akiwa timu ya taifa ( Taifa Stars )

Taarifa zinaeleza kuwa hakuna matarajio ya Abdulrazack Hamza kufanya mazoezi na klabu yake hiyo kuelekea mechi dhidi ya Yanga na kwa taarifa zinaeleza kuwa kuna nafasi kubwa kuikosa Derby ya Kariakoo Oct 19 , 2024 .

Source : @officialfelixtz

NOTE

Mabeki wa kati wa Simba waliofit

1: Che Malone
2: Chamou Karaboue
3: Benjamin

Ina maana akiba ipo vizuri ?🤔 Kazi kwa Fadlu Davids
 
Beki wa kati wa klabu ya Simba SC , Abdulrazack Hamza bado hajafanya mazoezi na klabu yake tangu alipopata majeraha ya njama za paja akiwa timu ya taifa ( Taifa Stars )

Taarifa zinaeleza kuwa hakuna matarajio ya Abdulrazack Hamza kufanya mazoezi na klabu yake hiyo kuelekea mechi dhidi ya Yanga na kwa taarifa zinaeleza kuwa kuna nafasi kubwa kuikosa Derby ya Kariakoo Oct 19 , 2024 .

Source : @officialfelixtz

NOTE

Mabeki wa kati wa Simba waliofit

1: Che Malone
2: Chamou Karaboue
3: Benjamin

Ina maana akiba ipo vizuri ?🤔 Kazi kwa Fadlu Davids

View: https://youtu.be/SCcvz-qhHgA?si=lhL1RB3FQMwWTHbN

Fuatilia live acha kupotosha
 
Beki wa kati wa klabu ya Simba SC , Abdulrazack Hamza bado hajafanya mazoezi na klabu yake tangu alipopata majeraha ya njama za paja akiwa timu ya taifa ( Taifa Stars )

Taarifa zinaeleza kuwa hakuna matarajio ya Abdulrazack Hamza kufanya mazoezi na klabu yake hiyo kuelekea mechi dhidi ya Yanga na kwa taarifa zinaeleza kuwa kuna nafasi kubwa kuikosa Derby ya Kariakoo Oct 19 , 2024 .

Source : @officialfelixtz

NOTE

Mabeki wa kati wa Simba waliofit

1: Che Malone
2: Chamou Karaboue
3: Benjamin

Ina maana akiba ipo vizuri ?🤔 Kazi kwa Fadlu Davids
Ni beki kisiki kwa timu gani?
Sioni beki wa kuwazuia wachezaji wa Yanga. HAPO SIMBA HAKUNA. HAKUNAA.
 
Beki wa kati wa klabu ya Simba SC , Abdulrazack Hamza bado hajafanya mazoezi na klabu yake tangu alipopata majeraha ya njama za paja akiwa timu ya taifa ( Taifa Stars )

Taarifa zinaeleza kuwa hakuna matarajio ya Abdulrazack Hamza kufanya mazoezi na klabu yake hiyo kuelekea mechi dhidi ya Yanga na kwa taarifa zinaeleza kuwa kuna nafasi kubwa kuikosa Derby ya Kariakoo Oct 19 , 2024 .

Source : @officialfelixtz

NOTE

Mabeki wa kati wa Simba waliofit

1: Che Malone
2: Chamou Karaboue
3: Benjamin

Ina maana akiba ipo vizuri ?🤔 Kazi kwa Fadlu Davids
Yani taarifa unayoiita kuwa ni official haijatoka Simba na wewe unabeba tu mauchafu kuja kumwaga humu.

Ukisema ni rasmi, weka source ya club acha ujinga.
 
Ni beki kisiki kwa timu gani?
Sioni beki wa kuwazuia wachezaji wa Yanga. HAPO SIMBA HAKUNA. HAKUNAA.
Na huu umaamuma ndio tunautaka iluendelee hivyo hivyo. Muda sio mrefu Gamondi anafutwa kibarua
 
Back
Top Bottom