Rasmi Donald Trump aachia Mtandao wake kwa jina la Maga Hub - Truth Social Trump

Rasmi Donald Trump aachia Mtandao wake kwa jina la Maga Hub - Truth Social Trump

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Aliyekuwa Rais wa Marekani, mtangulizi wa Joe Biden ndugu Donald Trump sasa na yeye aachia Mtandao wake kwa jina la Maga Hub Truth social Trump. Mtandao huo ulizinduliwa jana Tarehe 16/02/2022

Trump ambaye alikutana na masaibu ya kufungiwa kwa Baadhi ya Account zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii hivyo alisema atatengeneza mtandao wake ambao wananchi watakuwa huru kuongea.

Kwa sasa Mtandao wa Maga Hub - Truth Social Trump unaendelea kufanya vyema ukiwa na Download zaidi ya 50K katika Duka la vipakuzi la Google kwa Application yake na sasa unaweza kujiunga na mtandao huo na unaweza kumfollow Mtu au mtu kukufollow wewe.

Pia katika Duka la Google application inapatikana kwa jina la Maga Hub - Truth Social Trump
Screenshot_20220217-185043.png

 
Haipo hata play store mkuu. Au jina tofauti?
 
Uko tayari nimeshajiunga ni Rahisi kutumia...
Screenshot_2022-02-17-09-53-09-56_151fb5157817730baba62f609ef5f01b.jpg
 
Aliyekuwa Rais wa Marekani, mtangulizi wa Joe Biden ndugu Donald Trump sasa na yeye aachia Mtandao wake kwa jina la Mega Hub. Mtandao huo ulizinduliwa jana Tarehe 16/02/2022....
Safi sana bwana trump ubish ubish mpaka unakufa haiend down kizembe.
Hapo atapiga ela siku za usoni pia.
 
Apple users naona bado…complexity.
Hapo naona anavuta upepo na kuangalia mapokeo huko Playstore nahisi ikifanya vizuri hata Apple store atawaandalia.
 
Hahahaha Trump b'n tuna la kujifunza kutoka kwake, ubishi ubishi tu
 
Hahahaha Trump b'n tuna la kujifunza kutoka kwake, ubishi ubishi tu
Hapo ataingia kwenye ushindani na Twitter, Facebook na Instagram akijipambanua vyema atatoboa.
 
Back
Top Bottom