Unafanya kazi WHO? Au UNAIDS?Grow upo kijana, hamna ugonjwa uliofanyiwa tafiti nyingi duniani kama UKIMWI katika historia na tafiti za dunia hii so ujinga wako usidhalilishe watanzania wengine kwa hulka za wanyama pori. Kama hujui kaa kimya au uliza uelimishwe. Akili za manyani kabisa kujitoa ubinadamu
Naamini huu ufadhili wa ARV ndiyo uliokuwa unasababisha wagunduzi wa dawa kufichwa! Tutamuelewa Trump baadayeHata mimi nahisi hivyoo dawa itapatikana. Very soon.
Inasadikika hivi
Aliyeleta HIV, ndiye aliyebuni pia dawa za kufubaza virusi hivyo yaani, (ARVs) na kuanza kuzitoa bule ili kuwasahaulisha watu waone hali hiyo ni kawaida tu, sasa kajitoa kufadhili mradi huu alioubuni mwenyewe
Hii inamaana ya...... Mpango wa kuwepo virusi vya HIV duniani, ni mpango wa kupunguza watu duniani, na sasa kaona waathirika wamefikia kiwango cha alichokiweka kwenye lengo hilo
Kaamua kukatiza uhai wa watu ili ndoto zake zitimie
Endeleeni kukemea dhambi, labda kuna kizazi kitasalimika na ushetwani wa mtu mweupe...? Yangu macho
Unafanya kazi WHO? Au UNAIDS?
Imekula kwako mkuu, izoee hali iliyopo
Katibu nyani
Duh!Inasadikika hivi
Aliyeleta HIV, ndiye aliyebuni pia dawa za kufubaza virusi hivyo yaani, (ARVs) na kuanza kuzitoa bule ili kuwasahaulisha watu waone hali hiyo ni kawaida tu, sasa kajitoa kufadhili mradi huu alioubuni mwenyewe
Hii inamaana ya...... Mpango wa kuwepo virusi vya HIV duniani, ni mpango wa kupunguza watu duniani, na sasa kaona waathirika wamefikia kiwango cha alichokiweka kwenye lengo hilo
Kaamua kukatiza uhai wa watu ili ndoto zake zitimie
Endeleeni kukemea dhambi, labda kuna kizazi kitasalimika na ushetwani wa mtu mweupe...? Yangu macho
Anaweza kuwa msaada sema sisi vichwa ngumu tunaona tumeonewa.Naamini huu ufadhili wa ARV ndiyo uliokuwa unasababisha wagunduzi wa dawa kufichwa! Tutamuelewa Trump baadaye
Baadhi ya wajinga walikuwa wanasema USA ni superpower wa mchongo sasa tunasubiri huyo mchina tuone kama ataweza kudhamini mpambano..
Trump amefanya Jambo la maana Sana kusitisha misaada yote
Kakatisha lakini si zitakuwa zinauzwa au?Inasadikika hivi
Aliyeleta HIV, ndiye aliyebuni pia dawa za kufubaza virusi hivyo yaani, (ARVs) na kuanza kuzitoa bule ili kuwasahaulisha watu waone hali hiyo ni kawaida tu, sasa kajitoa kufadhili mradi huu alioubuni mwenyewe
Hii inamaana ya...... Mpango wa kuwepo virusi vya HIV duniani, ni mpango wa kupunguza watu duniani, na sasa kaona waathirika wamefikia kiwango cha alichokiweka kwenye lengo hilo
Kaamua kukatiza uhai wa watu ili ndoto zake zitimie
Endeleeni kukemea dhambi, labda kuna kizazi kitasalimika na ushetwani wa mtu mweupe...? Yangu macho
Hakuna cha China, Russia wala Iran anayeweza kujaza ombwe inayoachwa na Marekani kwani pamoja na ukweli kwamba nchi hizo bado na zenyewe zina shida tu kama za kwetu, lakini ni ukweli usiopingika ni kwamba hayo mataifa hayaamini katika kumsaidia mtu mwenye viungo na akili timamu.
Hivyo kama tulikuwa tunafikiri China, Russia au Iran wanaweza wakaziba pengo linaloachwa na Marekani basi tunajipanganya sana.
Mitano mingi sana ngoja uone single mother wanavyo puputika!Hahahah.........tutazika sana. Jipe miaka 5 tu
Imani upendo na miujizaInasadikika hivi
Aliyeleta HIV, ndiye aliyebuni pia dawa za kufubaza virusi hivyo yaani, (ARVs) na kuanza kuzitoa bule ili kuwasahaulisha watu waone hali hiyo ni kawaida tu, sasa kajitoa kufadhili mradi huu alioubuni mwenyewe
Hii inamaana ya...... Mpango wa kuwepo virusi vya HIV duniani, ni mpango wa kupunguza watu duniani, na sasa kaona waathirika wamefikia kiwango cha alichokiweka kwenye lengo hilo
Kaamua kukatiza uhai wa watu ili ndoto zake zitimie
Endeleeni kukemea dhambi, labda kuna kizazi kitasalimika na ushetwani wa mtu mweupe...? Yangu macho
Matombo pamekukosea nini kiongozi? Mbona unapadogosha?Unanijua? Kwa kuwa naburudika kusoma akili za hivi tu ukajua tupo wote matombo?
Vitoto vya afu mbili haviijui UKIMWI ni nini japo vingi vimezaliwa vikiwa positive....Endelea kula Sex workers na Vitoto vya 2000 hovyp hovyo then Uje kulauma Trump😀😀
Hapana mkuu napaheshimu sana nimetolea mfano tu, hawa vijana wanakera sana kudhalilisha efforts za watu waliopambana kwa miaka dhidi ya hili gonjwa, tulioona jinsi watu walivyoteseka na kufa bila msaada miaka ya 1997, 98, 99 hadi 2003 kabla ya hizi interventions za George Bush hatuwezi kutazama upuuzi wa waganga wa kienyeji unaotamkwa humu!Matombo pamekukosea nini kiongozi? Mbona unapadogosha?
Mpaka miaka 2000 hadi 2004 zilipiga watu sana wakisingizia uchawi na kisukariHapana mkuu napaheshimu sana nimetolea mfano tu, hawa vijana wanakera sana kudhalilisha efforts za watu waliopambana kwa miaka dhidi ya hili gonjwa, tulioona jinsi watu walivyoteseka na kufa bila msaada miaka ya 1997, 98, 99 hadi 2003 kabla ya hizi interventions za George Bush hatuwezi kutazama upuuzi wa waganga wa kienyeji unaotamkwa humu!