JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Zaidi ya mashabiki 1,000 wa Fenerbahce wameshiriki katika mapokezi ya kocha wao mpya, Jose Mourinho wakati akitambuliwa kwenye Uwanja wa Sukru Saracoglu Jijini la Istanbul.
Kocha huyo amerejea katika majukumu hayo ikiwa ni miezi mitano tangu alipofukuzwa katika Klabu ya Roma ya Italia
Baada ya kutambulishwa akiwa na jezi ya Fenerbahce, Mourinho amesema “Hii jezi sasa ni ngozi yangu, ndoto zenu ni ndoto zangu”.
Chanzo: DailyMail
Pia soma: Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa Fenerbahce ya Uturuki
Kocha huyo amerejea katika majukumu hayo ikiwa ni miezi mitano tangu alipofukuzwa katika Klabu ya Roma ya Italia
Baada ya kutambulishwa akiwa na jezi ya Fenerbahce, Mourinho amesema “Hii jezi sasa ni ngozi yangu, ndoto zenu ni ndoto zangu”.
Chanzo: DailyMail
Pia soma: Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa Fenerbahce ya Uturuki