JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mimi piaMorinyo ulipo nipo
Rasmi sasa kuanza kuishangilia fenerbahche😀
Hamna namna MkuuMimi pia
Msimu wa kwanza hiyo ligi wataisoma namba ya the Special oneCha msingi ni kwamba lazima atawapa kombe haijalishi ni kombe gani ila Kuna kombe atawapa
Tupo wengi, hata akija Lipuli bado tupo nae.Morinyo ulipo nipo
Rasmi sasa kuanza kuishangilia fenerbahche😀