Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Klabu ya mpira wa miguu ya Uingereza, Chelsea FC na kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Nike leo zimetambulisha rasmi jezi mpya za tatu kwa ajili ya msimu wa 2017/18.
Leo usiku tunacheza na Qarabag katika uwanja wetu wa Stamford Bridge ikiwa ni mechi yetu ya kwanza baada ya kurudi kwenye michuano ya EUFA Champions League, na jezi hizi mpya za tatu zitatumika kwa mara ya kwanza wakati tukiitembelea timu ya Atletico Madrid katika mchezo wetu wa pili wa michuano hiyo siku ya tarehe 27 September mwaka huu.
Rangi ya kijivu mkoleo (dark greys) ndio inayotengeneza rangi kuu ya jezi hizo, ikiwa imeongezewa naksi za majificho ndio zinazo kamilisha jezi hizi nzuri za tatu za Chelsea. Pia kuna michirizi ya rangi ya blue bahari ambayo inapita kwenye mabega na mikono.
Kama ilivyo kwa jezi zetu za nyumbani na ugenini, teknologia ya Nike ya AeroSwift technology ndio iliyotumika kutengeneza jezi nzuri kwa ajili ya mabigwa.
Leo usiku tunacheza na Qarabag katika uwanja wetu wa Stamford Bridge ikiwa ni mechi yetu ya kwanza baada ya kurudi kwenye michuano ya EUFA Champions League, na jezi hizi mpya za tatu zitatumika kwa mara ya kwanza wakati tukiitembelea timu ya Atletico Madrid katika mchezo wetu wa pili wa michuano hiyo siku ya tarehe 27 September mwaka huu.
Rangi ya kijivu mkoleo (dark greys) ndio inayotengeneza rangi kuu ya jezi hizo, ikiwa imeongezewa naksi za majificho ndio zinazo kamilisha jezi hizi nzuri za tatu za Chelsea. Pia kuna michirizi ya rangi ya blue bahari ambayo inapita kwenye mabega na mikono.
Kama ilivyo kwa jezi zetu za nyumbani na ugenini, teknologia ya Nike ya AeroSwift technology ndio iliyotumika kutengeneza jezi nzuri kwa ajili ya mabigwa.